Wewe ni -ke ama -me Jumbe Brown !?Mbona aliyatangaza....
Aliyatangaza kwa wanamwanza...
Halafu kuna falla anasoma akiwa chumba cha giza akitukanaAkiripoti kutoka ubelgiji
CHADEMA Ni vilaza kwelikweli
Jamaa utapenda kuandamana sio ?!Lissu hapo umenena kweli japo umekosea hujatangaza maandamano
Aliitisha juzi kwenye Twitter vijana wa mwanza waingie ,lakini hata panya hakutokea barabarani.😃😃Lissu hapo umenena kweli japo umekosea hujatangaza maandamano
Kiswahili kimekuingizi shilingi gapi? Apo BAKITA"Uwandike upya" ndio Kiswahili gani?
MATAGA wewe kichwa ni kitupu kabisa.
Mimi ni John Pambalu niko huku rumande ,sijui nitatolewa lini?Wewe ni -ke ama -me Jumbe Brown !?
ID yako naona ni ya -me,lakini maandishi ya "Mwajuma Ndalandefu".
Huyo gaidi atakufa,mwambieni ale chakula,kifo hakina masihara sheikhSoma alama.
Mbowe kawanyima ushirikiano polisi ndio maana haruhusiwi kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake.
Siyo ajabu hata chakula hali.
😂😂😂😂 Lissu anaongelea akiwa kwa mabeberu
Huku fangasi lisilo na mwelekeo liki mquoteHalafu kuna falla anasoma akiwa chumba cha giza akitukana
Atangaze mara ngapi?Lissu hapo umenena kweli japo umekosea hujatangaza maandamano
Tunamsubiri Mkeo amalize siku zake tuingie naeKwahiyo barabarani tunaingia lini makamanda?
Usiniletee uchizi wako.Huyo gaidi atakufa,mwambieni ale chakula,kifo hakina masihara sheikh
Tundu Lissu na yeye arudi kuja kuunganisha nguvu. Ingawa natambua fika kazi wanazo zifanya wakiwa huko huko ughaibuni.Lissu tunakumiss sana huku field.
GoodMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Kijamii wa “Club House” katika chumba kilichofunguliwa na CHADEMA cha “Mashtaka ya Ugaidi ya Mbowe na Katiba Mpya” amesema CHADEMA haitashiriki katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe
Amesema “Hatutaandika barua ya kuomba dhamana, wala yeye hataomba. Mwenyekiti hatatoa ushirikiano wa aina yoyote, sio Polisi sio Mahakamani. Waamue wao wanataka kumfanya nini”
Ameongeza, “Wakikaa naye wajue hii kelele itakuwa kubwa. Wamuachie menyewe, wakimuachia kwa masharti ya kurudi Polisi siku nyingine hatarudi. Na wakimuachia atarudi Mwanza kwenye Kongamano”
Amesisitiza, “Kama wanamuachia waamue wenyewe, na wamuachie bila masharti yoyote. Sisi hatutashiriki kwa lolote katika kesi hii tunayojua ni ya kijinga”
Awali, Lissu alieleza kuwa kabla ya Mbowe kwenda Mwanza walizungumza naye na kusema tabia ya Polisi kuwakama, kukaa nao kwa muda na kisha kuwaachia kwa masharti ya kurudi kuripoti Kituo cha Polisi kila mara wamechoka na sasa hawatakubali.
Akae huko huko ashambulie kwa nguvuuTundu Lissu na yeye arudi kuja kuunganisha nguvu. Ingawa natambua fika kazi wanazo zifanya wakiwa huko huko ughaibuni.