Lissu: Polisi hawana uwezo wa kukaa na Mbowe muda mrefu gerezani. Mbowe na CHADEMA hatutatoa ushirikiano

Ndugu zangu,

Ama kweli "kikulachi ki nguoni mwako" japo wanazungumza kama wanesusa lakini wana ajenda kubwa dhidi ya Mbowe.

Ukitafakari kwa makini kauli yao "Chadema haotomdhamini Mbowe" kuna kitu utagundua naam wamemchoka, hawataki atoke korokoroni, wanatamani Lissu ashike usukani.

Kuna vita kubwa "ndani ya Chadema" muda si muda watanyukana hadharani.
Ccm hamuishi vituko, nyie si ndo mnataka Mbowe, mpaka mwamtungia kesi ya ajabu, Sasa kaeni nae Cha msingi awe salama ,

KUMUACHIA ni lazima na sio ombi tena, hamtaki kaa nae , Sasa unalalamika sie tukusaidie nini
 
Nchi za wenzenu zipi?
Marekani Republicans wanapambana usiku na mchana kuzuia watu weusi wasipige kura.Kuna maandamano mengi dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi.Trump alikiwa impeached kwa sababu gani kama sio siasa kama hizi tu.

..tuige mazuri ya Wamarekani, mabaya tuachane nayo.

..Kwa mfano tunaweza kuiga mfumo imara wa uchaguzi ambao hata Raisi wa Marekani alishindwa kuulazimisha umpe ushindi.

..Pia kwa Marekani polisi akiuwa raia uchunguzi hufanyika na ikibainika amefanya makosa ndugu wa waliouawa au kudhulumiwa hulipwa fidia.

..Serikali za wenzetu zinapokosea kunakuwepo jitihada za kurekebisha makosa. Kwa Tanzania serikali na CCM wanapokosea zinafanyika jitihada za kulindana na kuwakandamiza zaidi waliodhulumiwa.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Kijamii wa “Club House” katika chumba kilichofunguliwa na CHADEMA cha “Mashtaka ya Ugaidi ya Mbowe na Katiba Mpya” amesema CHADEMA haitashiriki katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe

Amesema “Hatutaandika barua ya kuomba dhamana, wala yeye hataomba. Mwenyekiti hatatoa ushirikiano wa aina yoyote, sio Polisi sio Mahakamani. Waamue wao wanataka kumfanya nini”

Ameongeza, “Wakikaa naye wajue hii kelele itakuwa kubwa. Wamuachie menyewe, wakimuachia kwa masharti ya kurudi Polisi siku nyingine hatarudi. Na wakimuachia atarudi Mwanza kwenye Kongamano”

Amesisitiza, “Kama wanamuachia waamue wenyewe, na wamuachie bila masharti yoyote. Sisi hatutashiriki kwa lolote katika kesi hii tunayojua ni ya kijinga”

Awali, Lissu alieleza kuwa kabla ya Mbowe kwenda Mwanza walizungumza naye na kusema tabia ya Polisi kuwakama, kukaa nao kwa muda na kisha kuwaachia kwa masharti ya kurudi kuripoti Kituo cha Polisi kila mara wamechoka na sasa hawatakubali.

Mwambie Tundu na yeye aje
Kama selo pazuri mbona yeye kakambia😆
 
Serikali imagharamia mahabusu kibao jela na wafungwa,watashidwaje kumgharamia mbowe,makamandan wameamua kumsusa chairman au?
 
Hakika mbowe ni gaidi si mnaona matamko ya wenzake
JamiiForums-1797793390.jpg
 
Mzee wa Matusi ulikuwa wapi kaka?!!

Nilitegemea kupotea KWAKO utanijia na MATUSI MAPYA...

TUPO MKUU WANGU

#KaziInaendelea
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiAmaniYaTanzania
#MzigoNiUtulivuWaTanzania
Kwani kuku describe wewe Bwabwa ni Matusi ?
 
Police wanatii maagizo ya wanasiasa sababu ya katiba chakavu isiyofaa kwa kizazi cha sasa.
 
Back
Top Bottom