Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,126
- 11,357
Mimi huwa najiuliza Tundu Lissu ni nani? Hata ubunge hana bado watu wanamshobokea. Tundu Lissu ni kibaraka namba moja wa mabeberu was kuogopwa kama ukoma. Anayoifanyia nchi yake angeyafanyia nchi kama marekani (inayojinadi kinara wa demokrasia) adhabu ya ni kunyongwa. Baadhi ya majibo USA adhabu ya kifo bado ipo.