Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

Aliyewahi kuwa Spika wa bunge mama Anna Makinda, anatambua vyema uwezo na umuhimu wa Tundu Lissu...

Nyuma ya pazia alikuwa ni mtu anayemsaidia sana pale bunge lilipohitaji utanzuaji wa masuala ya kisheria...
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka

Upumbavu ni mzigo mzito kuliko ujinga! Mleta mada anataka waliosoma nae watoe ushuhuda - wewe unawelezea siasa zake, makazi yake na hata ubinafsi wake!! Ninashukuru kuwa hujanifundisha, sijui ningekuwaje kutoka hao laki tano walipitia mikono yako (i dispute that fugure, though - labda unafundisha elimu ya msingi na shule za mijini zenye wanafunzi wengi).

Nikukumbushe! Kila binadamu ana faida zake kwa jamii. Kwa hakika TL ana impact kubwa kwa nchi hii kuliko yako kwa wanafunzi laki 5. Wewe unamfahamu - yeye anaweza kuwa hata hakufahamu!! Jisikie vibaya sana kuwa TL unayemsema kwa mabaya anajulikana kuliko wewe!! Hao laki tano waliopitia mikononi mwako una hakika hakuna utakayejisikia vibaya akikutaja wewe kama mmoja wa walioaharibu maisha yake??

Ninaweza kusema hiki - hukupaswa hata kuwa mwalimu. Uelewa wako kwenye jambo hili umekuwa si sawa. Umepoteza watu laki 5 kama nao wako na uelewa wako! Nilitarajia uje hapa kumwelezea TL akiwa na kama mwanafunzi aliyefaulu vizuri!! Ndio mada.
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.

😡😡 But he seems, talks and looks arrogant in real life. Being best in class doesn't mean you will be the best in streets or real life, Lissu seems stupid. Wote mnajua hilo. Na hii ndio tofauti ya Elimu na Maisha halisi, maisha halisi unaangukia pua vibaya, ila elimu unafanya vema, Lissu has a very bad attitude, and almost zero impact katika jamii yetu, kazi kututia aibu tu huko ugaibuni, so CONCLUSION is failure.

Maisha ndio mezania kama umefanya vema au la. Sijui naeleweka.

Maisha sio straight line, lazima utumie elimu ya darasani, ujanja, busara, hekima, nidhamu, kuomba baraka za Mwenyezi Mungu, afya njema na kufanya kazi zako kwa bidii zaidi kila kukicha hasa kwa kufikiri sana sio misuli sana. Niishie hapa.
 
Upumbavu ni mzigo mzito kuliko ujinga! Mleta mada anataka waliosoma nae watoe ushuhuda - wewe unawelezea siasa zake, makazi yake na hata ubinafsi wake!! Ninashukuru kuwa hujanifundisha, sijui ningekuwaje kutoka hao laki tano walipitia mikono yako (i dispute that fugure, though - labda unafundisha elimu ya msingi na shule za mijini zenye wanafunzi wengi).

Nikukumbushe! Kila binadamu ana faida zake kwa jamii. Kwa hakika TL ana impact kubwa kwa nchi hii kuliko yako kwa wanafunzi laki 5. Wewe unamfahamu - yeye anaweza kuwa hata hakufahamu!! Jisikie vibaya sana kuwa TL unayemsema kwa mabaya anajulikana kuliko wewe!! Hao laki tano waliopitia mikononi mwako una hakika hakuna utakayejisikia vibaya akikutaja wewe kama mmoja wa walioaharibu maisha yake??

Ninaweza kusema hiki - hukupaswa hata kuwa mwalimu. Uelewa wako kwenye jambo hili umekuwa si sawa. Umepoteza watu laki 5 kama nao wako na uelewa wako! Nilitarajia uje hapa kumwelezea TL akiwa na kama mwanafunzi aliyefaulu vizuri!! Ndio mada.
Huyo anachuki binafsi
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Una ufahamu mdogo sana kumhusu Tundu Lissu, tafuta habari kuliko kuonekana kichekesho
 
😡😡 But he seems, talks and looks arrogant in real life. Being best in class doesn't mean you will be the best in streets or real life, Lissu seems stupid. Wote mnajua hilo. Na hii ndio tofauti ya Elimu na Maisha halisi, maisha halisi unaangukia pua vibaya, ila elimu unafanya vema, Lissu has a very bad attitude, and almost zero impact katika jamii yetu, kazi kututia aibu tu huko ugaibuni, so CONCLUSION is failure.

Maisha ndio mezania kama umefanya vema au la. Sijui naeleweka.

Maisha sio straight line, lazima utumie elimu ya darasani, ujanja, busara, hekima, nidhamu, kuomba baraka za Mwenyezi Mungu, afya njema na kufanya kazi zako kwa bidii zaidi kila kukicha hasa kwa kufikiri sana sio misuli sana. Niishie hapa.
Mkuu pita kwenye Hansard za bunge letu wakati akiwa mbunge na pia omba wakupe kumbukumbu za mjadala wa bunge la katiba halafu waulize maspika waliongoza mabunge hayo watakwambia Uwezo wa nguli huyu.
Uelewa wako juu yake nadhani hauko juu ya misingi sahihi, mtazame ukiwa bila miwani ya itikadi za vyama!
 
Huyu ni genius wa TAIFA nadhani IQ yake ako juu sn pengine kuliko watz wote mmoja mmoja.....

Ndio maana magufuli aliona njia pekee ni kumuua lkn Mungu akamuwekea fungu lake linaloishi mpaka sasa...

Huyu ndio pekee anafaa kulikomboa taifa hili liloangamia tayari
 
Mkuu pita kwenye Hansard za bunge letu wakati akiwa mbunge na pia omba wakupe kumbukumbu za mjadala wa bunge la katiba halafu waulize maspika waliongoza mabunge hayo watakwambia Uwezo wa nguli huyu.
Uelewa wako juu yake nadhani hauko juu ya misingi sahihi, mtazame ukiwa bila miwani ya itikadi za vyama!
Vyama vimetufarakanisha hata pale ambapo tunamhitaji mtu kama.

Bunge la mama Makinda mwishoni mwishoni lilionywa na TAL juu ya muswaada dharura wa Gas na Mafuta 2015 July mwishoni . Waksipitisha kwa mbwembwe hata pale wapinzani walipotoka nje. Tena usiku wa manane. Leo hii wao wenyewe Ccm wanalalamika. Tuna UNAFIKI mkubwa kisa vyama.
 
Mkuu pita kwenye Hansard za bunge letu wakati akiwa mbunge na pia omba wakupe kumbukumbu za mjadala wa bunge la katiba halafu waulize maspika waliongoza mabunge hayo watakwambia Uwezo wa nguli huyu.
Uelewa wako juu yake nadhani hauko juu ya misingi sahihi, mtazame ukiwa bila miwani ya itikadi za vyama!
Tuanze jimboni kwake Kwanza Cha u genious gani aliwafanyia wapiga kura wake .Bila kujali itikafi ya vyama ana Nini Cha kuonyesha alichofanya kwenye Jimbo lake? Tuna ushahidi wa mambo makubwa waliyofanya wabunge wa Chadema Kama Mbowe na Msigwa .Bila kujali vyama tunakubali

Yeye Lisu Cha maana alichofanya jimboni kwake Nini? Charity begins at home sio bunge la katiba Wala sio charity begins at Hansard report!!! Wala sio charity begins at Voice of America or BBC talk!!!!
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Nenda Tarime upate shuhuda uone alivyookoa wengi
 
Tuanze jimboni kwake Kwanza Cha u genious gani aliwafanyia wapiga kura wake .Bila kujali itikafi ya vyama ana Nini Cha kuonyesha alichofanya kwenye Jimbo lake? Tuna ushahidi wa mambo makubwa waliyofanya wabunge wa Chadema Kama Mbowe na Msigwa .Bila kujali vyama tunakubali

Yeye Lisu Cha maana alichofanya jimboni kwake Nini? Charity begins at home sio bunge la katiba Wala sio charity begins at Hansard report!!! Wala sio charity begins at Voice of America or BBC talk!!!!
Siasa mbovu zimefanya majimbo ya upinzani yasipewe kipaumbele kwenye miradi ya maendeleo.
Hoja yako haiwezi kuwa na msingi sababu hela haitoki mfukoni kwake Bali inatoka Serikalini.
Nenda kawauize Anna Malinda na Job Ndugai wakueleze japo kwa ufupi mchango wa Lissu bungeni na ukiweza pitia Hansard za bunge.
 
Nasikia maza alikuwa anapata masikio
Sishangai kama ilikuwa hivyo, maanake haonyeshi kuwa anao uelewa wa mambo. Huko ndiko CCM ilipotufikisha. Wanabandika tu watu kwenye nafasi yoyote bila ya kujali uwezo wa mtu katika nafasi anayowekwa.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Humjui Tundu Lisu.

Rejea Mgosi wa nyamogo pale wananchi walipoandamana kutokana na kubainika ngozi kwasababu ya maji yaliyokuwa yakitililishwa na huo mgodi walihukumiwa kifungo cha maisha ,Tundu Lisu alienda kuwatetea bure mahakamani na akashinda kesi.

Kesi nyingi Amesaidia wananchi ,Si sawa na wewe ambaye unafundisha wanafunzi ambao wengi wao umewapatisha division 0.

Misaada wa Tundu Lisu ni mkubwa kuliko hicho kijimsaada. Chako. Uchwara cha kusomesha wanafunzi felia.
 
Sishangai kama ilikuwa hivyo, maanake haonyeshi kuwa anao uelewa wa mambo. Huko ndiko CCM ilipotufikisha. Wanabandika tu watu kwenye nafasi yoyote bila ya kujali uwezo wa mtu katika nafasi anayowekwa.
Pole yetu
 
Humjui Tundu Lisu.

Rejea Mgosi wa nyamogo pale wananchi walipoandamana kutokana na kubainika ngozi kwasababu ya maji yaliyokuwa yakitililishwa na huo mgodi walihukumiwa kifungo cha maisha ,Tundu Lisu alienda kuwatetea bure mahakamani na akashinda kesi.

Kesi nyingi Amesaidia wananchi ,Si sawa na wewe ambaye unafundisha wanafunzi ambao wengi wao umewapatisha division 0.

Misaada wa Tundu Lisu ni mkubwa kuliko hicho kijimsaada. Chako. Uchwara cha kusomesha wanafunzi felia.
Huyo hana msaada bali hasara kwani inaonyesha anafelisha watoto
 
Back
Top Bottom