mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 483
DPP kaambiwa na mahakama ama akamilishe uchunguzi ndani ya mwezi mmoja, ama aahirishe mashtaka na watuhumiwa waachiwe mpaka DPP atakapokuwa tayari.
Hiyo ilikuwa September 14 2019.
Mahakama imesemanhivyo September 14 2019.
Hata mahakama inaona hoja anayoisema Tundu Lissu.
Kwa sababu sasa hivi watuhumiwa wanapigwa danadana huku wako ndani miaka nenda rudi kwa style ya "uchunguzi unaendelea".
Ndicho kitu ninachosema kuwa hilo ni la Mahakama na SIYO la Executive kama anavyodai huyo ndugu mwingine. Tuiache Mahakama ifanye ya kwake hayo ya Lissu yatakuwa "ni kuingilia mhimiri mwingine".