Uchaguzi 2020 Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru

Unless umeingia Dar juzi, hao masheikh wamekuwa wakifika Kisutu mara nyingi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kama liko kwenye Executive, Mahakamani walikuwa wakipelekwa kufanya nini? Kusalimia?
DPP kaambiwa na mahakama ama akamilishe uchunguzi ndani ya mwezi mmoja, ama aahirishe mashtaka na watuhumiwa waachiwe mpaka DPP atakapokuwa tayari.

Hiyo ilikuwa September 14 2019.

Mahakama imesemanhivyo September 14 2019.

Hata mahakama inaona hoja anayoisema Tundu Lissu.

Kwa sababu sasa hivi watuhumiwa wanapigwa danadana huku wako ndani miaka nenda rudi kwa style ya "uchunguzi unaendelea".

 
Nikuulize wewe unayeleta hoja ya wengine.

Wengine kina nani?

Tundu Lissu mara nyingi sana kiujumla amekemea serikali kutofuata utawala wa sheria.

Na amesema akipata nafasi kuwa rais atasimamia utawala wa sheria.

Msingi mkubwa wa utawala wa sheria ni haki sawa kwa wote.

Ila, katika uandishi wa habari, katika historia, katika siasa, katika ualimu, katika falsafa, katika hotuba, mambo yanasemwa kwa specificity, kwa mifano.

Kesi ya masheikh hawa ni mfano wa kesi maarufu.

Tundu Lissu anaitumia kama mfano wa jinsi utawala wake utakavyosimamia utawala wa sheria.

Ningemuona Tundu Lissu ni mjinga kama angetaja kesi isiyojulikana na watu wengi kama mfano, wakati kuna kesi inayojulikana na watu wengi.

Huu ni mfano mmoja unaoelezea msimamo wa Tundu Lissu kuhusu utawala wa sheria unaoheshimu the spirit and letter of the law.

Kwa nini unataka kufanya kama Tundu Lissu kakataza utawala wa sheria na haki kwa watu wengine wote isipokuwa hawa mashehe, wakati hajasema hilo?
"Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru". hayo ni maneno ya Lissu sasa kama sikutafuta kura ni nini? ndio anataka haki lakini pia anatumia kesi hii kupata kura, hilo wala halihitaji akili. anataka kura za waislamu wenye uchungu na mashekh
 
Unless umeingia Dar juzi, hao masheikh wamekuwa wakifika Kisutu mara nyingi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kama liko kwenye Executive, Mahakamani walikuwa wakipelekwa kufanya nini? Kusalimia?
Mpaka September 14 2019, na mpaka sasa nafikiri, kesi yao inasubiri uchunguzi wa DPP. DPP ni executive.

Mahakamani wanapelekwa, kesi inatajwa, DPP anasema warudishwe lupango uchunguzi unaendelea.

They do not get their day in court.

Hii ni mbinu inayotumika sana utawala huu pale serikali inapoona haina kesi ya maana lakini inataka kufungia watu tu.

Mtu kafungwa miaka 6 tayari, uchunguzi unaendelea.

Ukija kumuachia mwaka wa saba, ukisema uchunguzi umeonesha hana hatia, tayari ushamfunga jela miaka saba.

Utamlipa kwa hiyo miaka saba uliyomfunga bila hatia?

Hata ukimlipa hela, kitu ambacho hakifanyiki Tanzania, miaka yake saba hairudi tena.
 
"Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru". hayo ni maneno ya Lissu sasa kama sikutafuta kura ni nini? ndio anataka haki lakini pia anatumia kesi hii kupata kura, hilo wala halihitaji akili. anataka kura za waislamu wenye uchungu na mashekh
Kwani mwanasiasa kutafuta kura imekatazwa?

Unategemea mwanasiasa asitafute kura? Nini maana ya kampeni?

Kama anataka kusimamia haki na ili asimamie haki anahitaji kura, kutafuta kura ili asimamie haki kuna tatizo gani?
 
View attachment 1602807

Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.

Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.

Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Muislam safi mpenda haki LAZMA AMPE LISSU KURA, ma-Shehe ni sawa na Ma-padri au wachungaj, hivi kweli Mapadri 50 wangewezwa kuwekwa ndani muda wote huo? tuamke
 
View attachment 1602807

Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.

Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.

Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
siasa bana
 
Ukiwa kichaa kabisa kabisa, unaweza kumpigia kura Ndugu.
Ukiwa na akili timamu unaweza kumpigia kura Dkt. JPM.
Hao waliwekwa jela bila kufikishwa mahakamani unalizungumziaje hilo wewe mwenye akili zako timamu?
 
lissu huna akili hivi jakaya kawaacha humo ndani na walikamatwa kipindi chake na yeye ni muislamu mwenzao wewe na upuuzi wako hujui hta kuomba kura unafikiri ndiyo njia ya kupatia kura hiyo? honi sasa zanzibar imetulia? wana kesi ya kujibu hao usifikiri watu hawajui wewe pekeyako ndiyo hujui au unajua akini unajitoa akili tu
Kwahiyo kama walikamatwa awamu ya kikwete ndio iwe guarantee ya awamu ya jiwe kuendelelea kuminya haki zao, wacha undezi we gamba, kwani babu seya na wanawe walikamatwa awamu ipi na wameachiwa awamu gani! Grow up kiddo
 
Gereza la Kisongo kuna Mashekhe 200 wa answari suna
Gereza la Mtwara kuna Mashekhe 400 wa Answari suna
Magereza ya Keko na Ukonga Mashekhe wa Uamsho na wengine wanaopinga Bakwata nao wanaweza humo
 
Hizi sheria kandamizi za kuweka watu ndani kwanza Kisha ndo utafute ushahidi huu ni uhuni, uuaji, unyama. Ambao hata mkoloni akumfanyia mtu mweusi why sisi kwa sisi, ofisi ya DPP inapwaya Sana. Kama ushahidi haujakamilika kwann umweke mtu ndani
 
View attachment 1602807

Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.

Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.

Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Njia zingine za kuomba kura duh ...........
 
Wale masheikh bakwata kazi yao kusifia tu wakipewa vizawadi vidogovidogo tu sababu ya uvivu.
 
Back
Top Bottom