Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,358
- 1,807
Mimi ni mtu huruKama hujui kusoma kaa kimya.
Huna haki, wajibu wala mamlaka ya kuninyamazisha.
Mimi ni mtu huruKama hujui kusoma kaa kimya.
DPP kaambiwa na mahakama ama akamilishe uchunguzi ndani ya mwezi mmoja, ama aahirishe mashtaka na watuhumiwa waachiwe mpaka DPP atakapokuwa tayari.Unless umeingia Dar juzi, hao masheikh wamekuwa wakifika Kisutu mara nyingi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kama liko kwenye Executive, Mahakamani walikuwa wakipelekwa kufanya nini? Kusalimia?
"Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.Nikuulize wewe unayeleta hoja ya wengine.
Wengine kina nani?
Tundu Lissu mara nyingi sana kiujumla amekemea serikali kutofuata utawala wa sheria.
Na amesema akipata nafasi kuwa rais atasimamia utawala wa sheria.
Msingi mkubwa wa utawala wa sheria ni haki sawa kwa wote.
Ila, katika uandishi wa habari, katika historia, katika siasa, katika ualimu, katika falsafa, katika hotuba, mambo yanasemwa kwa specificity, kwa mifano.
Kesi ya masheikh hawa ni mfano wa kesi maarufu.
Tundu Lissu anaitumia kama mfano wa jinsi utawala wake utakavyosimamia utawala wa sheria.
Ningemuona Tundu Lissu ni mjinga kama angetaja kesi isiyojulikana na watu wengi kama mfano, wakati kuna kesi inayojulikana na watu wengi.
Huu ni mfano mmoja unaoelezea msimamo wa Tundu Lissu kuhusu utawala wa sheria unaoheshimu the spirit and letter of the law.
Kwa nini unataka kufanya kama Tundu Lissu kakataza utawala wa sheria na haki kwa watu wengine wote isipokuwa hawa mashehe, wakati hajasema hilo?
Mpaka September 14 2019, na mpaka sasa nafikiri, kesi yao inasubiri uchunguzi wa DPP. DPP ni executive.Unless umeingia Dar juzi, hao masheikh wamekuwa wakifika Kisutu mara nyingi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kama liko kwenye Executive, Mahakamani walikuwa wakipelekwa kufanya nini? Kusalimia?
Kwani mwanasiasa kutafuta kura imekatazwa?"Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru". hayo ni maneno ya Lissu sasa kama sikutafuta kura ni nini? ndio anataka haki lakini pia anatumia kesi hii kupata kura, hilo wala halihitaji akili. anataka kura za waislamu wenye uchungu na mashekh
Muislam safi mpenda haki LAZMA AMPE LISSU KURA, ma-Shehe ni sawa na Ma-padri au wachungaj, hivi kweli Mapadri 50 wangewezwa kuwekwa ndani muda wote huo? tuamkeView attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Kama hawakuwa na connection yoyote ya ule ugaidi mbona hivi sasa mambo shwari huko? Nawa tongotongo.Unadhibiti kwa kupoka haki za watu??
siasa banaView attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Hao waliwekwa jela bila kufikishwa mahakamani unalizungumziaje hilo wewe mwenye akili zako timamu?Ukiwa kichaa kabisa kabisa, unaweza kumpigia kura Ndugu.
Ukiwa na akili timamu unaweza kumpigia kura Dkt. JPM.
Kwahiyo kama walikamatwa awamu ya kikwete ndio iwe guarantee ya awamu ya jiwe kuendelelea kuminya haki zao, wacha undezi we gamba, kwani babu seya na wanawe walikamatwa awamu ipi na wameachiwa awamu gani! Grow up kiddolissu huna akili hivi jakaya kawaacha humo ndani na walikamatwa kipindi chake na yeye ni muislamu mwenzao wewe na upuuzi wako hujui hta kuomba kura unafikiri ndiyo njia ya kupatia kura hiyo? honi sasa zanzibar imetulia? wana kesi ya kujibu hao usifikiri watu hawajui wewe pekeyako ndiyo hujui au unajua akini unajitoa akili tu
eeh fita ni fita mura..usimchagulie silahaIla anavyowataja Waislamu kama specific group linaloonewa hapo hayuko sawa naona kama kuna Udini ndani yake, anataka kura za huruma kutoka Dini hiyo
Hiyo siku moja ipo ndani ya siku miamoja, nenda shule wewekwann iwe siku 100 na sio siku moja
So what?Mimi ni mtu huru
Huna haki, wajibu wala mamlaka ya kuninyamazisha.
Takwimu za kijiwe cha kahawa?Gereza la Kisongo kuna Mashekhe 200 wa answari suna
Gereza la Mtwara kuna Mashekhe 400 wa Answari suna
Magereza ya Keko na Ukonga Mashekhe wa Uamsho na wengine wanaopinga Bakwata nao wanaweza humo
Njia zingine za kuomba kura duh ...........View attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Halafu unakuta muislamu anashabikia haya kwa kuwa sehemu ya udhalimuIla hawa masheikh wamepata shida Sana kama adhabu basi inatosha ni Bora wangeachwa Tu Huru ili maisha yaendelee
Kwani wewe unaona Mashekhe buku moja wanapozwa Magerezani ni wachache?Takwimu za kijiwe cha kahawa?