Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Waliwekwa ndani tangu awamu ya 4 ipo madarakani nadhani kuanzia 2012 (Kama nimekosea nirekebishwe) na kuhamishiwa huku bara.Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
Kuna kipindi mahakama ya Zanzibar iliamuru warejeshwe huko wakajibu mashitaka (Kuna Uzi kuhusu hilo uliletwa humu) ila sikufatilia kujua kama walirejeshwa huko.
Anyway ni vyema upelelezi ukamilishwe (kama bado) ili kesi yao isikilizwe na kutolewa hukumu maana wamesota mahabusu muda mrefu sana.