Lissu ni Mwanasiasa kama wengine naye ashughulikiwe mambo ya Karma is bitch ni dua za kuku

GEE2PATEL

Senior Member
Oct 24, 2018
139
293
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P
 
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P
vipi JWTZ washabangua KOROSHOW KWA MENO?
VIPI MLISHAKAMATA KANGOMBA WANGAPI HUKO KUSINI?
VIPI MBONA MNAZIRUDISHA KWA WAKULIMA?
KOROSHOW?
 
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P
Lissu akiwa kitandani kaona JPM anaongea na jamaa wa Barrick kashindwa kujizua, karusha andiko lake hewani.

Jamaa wameahidi mkwanja, na siku wakitekeleza malipo sijui atakuja na andiko gani!.
 
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P
Leo umewaamkia CDM, kina honours his naga tu ni kuwa mawazo umuwaziae mwenzako mabaya, Mungu huenda kinyume nayo kutegemeana na imani ya mhusika. Mbegu ya chuki ni ya kulaaniwa kwa nguvu zote.
 
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P

Mkuu hizi 'h' vipi yaonesha kama uzi wako mwingine ndiyo zile style zako?


Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

This is serious kwani kwako hizi 'h' si typo bali asili.
 
Toka aingie jiwe ikulu sijawahi kumuona member humu Jf akimtetea Magufuli na serikali yake kwa hoja zenye mantiki

Watetezi wa serikali ya awamu hii hawana tofauti na wajinga maana hakuna hoja zozote za maana zinazoletwa humu zaidi ya hisia na mahaba dhidi ya serikali
 
Lissu akiwa kitandani kaona JPM anaongea na jamaa wa Barrick kashindwa kujizua, karusha andiko lake hewani.

Jamaa wameahidi mkwanja, na siku wakitekeleza malipo sijui atakuja na andiko gani!.

..kuna utapeli unaendelea.

..kwanza tuliambiwa tunawadai usd 191 billion.

..sasa mantiki ya kukubali usd 300 million ni nini?

..usd 300 million haziwezi hata kumaliza phase moja ya sgr.

..Pia fedha hizo haziwezi kukamilisha ujenzi wa stieglers gorge.

..ukizingatia kilichomo kwenye ripoti za Prof.Mruma na Prof.Ossoro hiki tulichoahidiwa kulipwa ni sawa na kusema ripoti zile zilikuwa ni UONGO.

..Again, how did we start with usd 191 billion and end up with usd 300 million? Serekali iandae majibu ya uhakika.

Cc Pascal Mayalla, Nguruvi3, tindo, Mag3
 
Hivi Lissu kama alijua kwamba ni mgonjwa kwanini aingilie masuala ya siasa kabla hajapona?

Siasa zote duniani zimesheheni watu wa aina mbali mbali na sifa mbalimbali, hasa linapokuja kwenye ishu ya ushindani wa hoja wengine uchanganya kidogo na mambo ya kumtoa kwenye mstari muhusika,

Ndo maana kwenye kampeni fulani tuliona mtu anaambiwa kuchafua jukwaa mwingine kaambiwa aliwahi kupata ukichaa,

Sasa Lissu siyo special kwamba akija vibaya kwenye hotuba zake anamtuhumu na kumdhalilisha rais kwamba hawezi ongea sentensi hata moja ya Kingereza hatukatai sawa, lakin na upande wa pili watasema kwanza asubiri apone na ile ilobaki kwenye spinal cord itoke, mwingine atasema asubiri dawa ya ganzi au ya fahamu iishe mwilini,

Hivyo mtu akisema hivyo utasikia upande wa pili karma is bitch tunacheka tu mambo yote ni hapa hapa duniani,

Sitashindwa kumjibu lissu kisa naogopa wafuasi wake wasinilaani na dua lao la kuku kwa mwewe,

By EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - G2P

Mkuu mbona wasiojulikana waliisha mshughulikia, lakini Mwenyezi Mungu hakutaka afe. We bado unamuandama tu angalia mkuu kifo hakina mwenyewe, unaweza ukatangulia wewe kabla ya yeye.
 
We Jamaa inaonekana ni usajili mpya wa Lumumba!
Maana unajuhudi kinoma ya kuanzisha hizo thread za kilumba lumumba!

Utachoka tu walikuwepo akina Lizaboni humu Siku hizi wameishiwa pumzi
 
..kuna utapeli unaendelea.

..kwanza tuliambiwa tunawadai usd 191 billion.

..sasa mantiki ya kukubali usd 300 million ni nini?

..usd 300 million haziwezi hata kumaliza phase moja ya sgr.

..Pia fedha hizo haziwezi kukamilisha ujenzi wa stieglers gorge.

..ukizingatia kilichomo kwenye ripoti za Prof.Mruma na Prof.Ossoro hiki tulichoahidiwa kulipwa ni sawa na kusema ripoti zile zilikuwa ni UONGO.

..Again, how did we start with usd 191 billion and end up with usd 300 million? Serekali iandae majibu ya uhakika.

Cc Pascal Mayalla, Nguruvi3, tindo, Mag3
Nani kakwambia kwamba hizo 300 milion dollars zinakwenda kushughulika na SGR au Stieglers Gorge?

Ina maana hatuna mahitaji mengineyo?. Unaweza ukaikosa hiyo 191 bilioni ukawa umetengeneza mazingira ya nchi kufaidika kiuchumi kupitia madini hayo hayo. Pesa sio msingi wa maendeleo, maana ya msemo huo ni kwamba pesa huja baadae baada ya mtu kwanza kuwa mbunifu.

Pesa huja baada ya mtu kuweka njia sahihi za upatikanaji wake. Kwenye suala la madini tunadai tupewe asilimia sawa za ugawanaji wa faida za kiuchumi, ndani ya miaka michache faida za uwepo wa usawa kwenye hii biashara zitakuwa ni muhimu kuliko hizo 191 bilioni.
 
Nani kakwambia kwamba hizo 300 milion dollars zinakwenda kushughulika na SGR au Stieglers Gorge?

Ina maana hatuna mahitaji mengineyo?. Unaweza ukaikosa hiyo 191 bilioni ukawa umetengeneza mazingira ya nchi kufaidika kiuchumi kupitia madini hayo hayo. Pesa sio msingi wa maendeleo, maana ya msemo huo ni kwamba pesa huja baadae baada ya mtu kwanza kuwa mbunifu.

Pesa huja baada ya mtu kuweka njia sahihi za upatikanaji wake. Kwenye suala la madini tunadai tupewe asilimia sawa za ugawanaji wa faida za kiuchumi, ndani ya miaka michache faida za uwepo wa usawa kwenye hii biashara zitakuwa ni muhimu kuliko hizo 191 bilioni.

..kwa hiyo usd 191 billion hatuna haja nazo tena?!
 
..uzuzu ni kudai usd 191 billion halafu ukubali kulipwa usd 300 billion.

..ni kusalimu amri na kuwa KIBARAKA wa mabeberu.
Uzuzu ni kutaka kuona nchi yako inashindwa kupata haki zaidi kwenye sekta ya madini ili mtu mmoja aweze kuandika upuuzi mitandaoni.

Uzuzu ni kutojua kwamba upatikanaji wa fedha ni kitu endelevu. Uzuzu ni kuwa na zile akili za kupenda maisha ya mteremko, pasipo kutambua kwamba utajiri huongozwa na nidhamu ya kimaisha pamoja na kuwa tayari kufanya kazi.

Uzuzu ni kwa mwanaume mwenye utu uzima wake, ambaye bila haya kuona aibu anaongelea kupewa Noah za bure bure tu.
 
Back
Top Bottom