Lissu ni Dikteta, anamshawishi Rais Samia kutozingatia Utawala Bora na kuingilia Mihimili mingine

Wee uliyepata ukiwete kwa kupigwa na stroke Lissu hajaingilia uhuru wa mahakama,kwa kuongea na rais kuhusu kesi ya Mbowe iliopo mahakamani,kwa kuwa serekali ndio wenye kesi hiyo,kwa hiyo wanamamlaka ya kuiondoa mahakamani kama Walivyoipeleka.
 
Wee uliyepata ukiwete kwa kupigwa na stroke Lissu hajaingilia uhuru wa mahakama,kwa kuongea na rais kuhusu kesi ya Mbowe iliopo mahakamani,kwa kuwa serekali ndio wenye kesi hiyo,kwa hiyo wanamamlaka ya kuiondoa mahakamani kama Walivyoipeleka.
Kama swala lipo mahakamani kwanini mahakama isiachwe ifanye kazi yake.

Na vipi kuhusiana na kuwaondoa bungeni wabunge wa chama ambacho yeye hahusiki nacho ?

Wewe unaona ni sahihi??
 
Rais kufuta kesi sio kuingilia uhuru wa mahakama maana alieshtaki ni DPP ambae ni mteule wa Rais.

Rais haendi kumuamrisha jaji cha kufanya maana uko ndio kuingilia mahakama,Rais anamuamuru Tu DPP kufuta kesi,kumbuka kwa uamsho alivyowatoa...Lissu ni akili kubwa sana kueleweka na narrow brained people.
DPP aliona kuna kesi ya kuipeleka mahakamani ndio maana kafanya vile.

Ila sasa kumshawishi Rais amuamuru DPP aondoe kesi ambayo huko ni kuingilia mamlaka ya DPP na mahakama ambayo inaendelea kuisikiliza hiyo kesi.

Kama ni hivyo basi tunakie na Rais tuachane na kuwa na mihimili kama Bunge na Mahakama maana Rais ndio kila kitu.
 
Lissu ni Dikteta kwa kuwa anamshawishi Rais Samia kutozingatia utawala bora na kuingilia mihimili mingine.

Lissu anataka Samia avunje Ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuingilia Bunge la JMT kwa kuwaondoa wabunge wanaowawakilisha wananchi tena jambo baya zaidi wabunge hao ni wa chama cha upinzani ambao Rais hana mamlaka nao kwani yeye anatoka chama kingine.

Lissu anataka Rais Samia avunje Ibara ya 107A na 107B ya katiba kwa kuingilia uhuru wa mahakama pale alipomtaka Rais kufuta kesi ya Mbowe.

Kwa kufanya hivyo Rais atakuwa ameingilia Mhimili wa Mahakama ambao upo katika mchakato wa kutoa maamuzi kuhusiana na suala la Mbowe.

Inasikitisha mno kwamba Lissu kama kiongozi wa Chama Cha Upinzani anahimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi tena akiwa mtaalam wa sheria.

Lissu anafanya yote haya akiwa hana mamlaka.

Je akiyapata? Nina imani kabisa kabisa kwamba endapo mtu kama huyu akipewa mamlaka tutashuhudia uvunjifu mkubwa wa katika kuwahi kutokea katika historia ya Taifa letu.

Ni hitimishe kwa kusema kwamba Lissu ametukosea sana watanzania kwa kuweka pembeni taaluma yake ya sheria kwa kuhimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi.

Watu wa aina hii hawapaswi kuaminiwa kupewa mamlaka ya nchi.
UPUUZI muhimili gani unaoingiliwa hapo? Elimu Elimu Elimu!
 
DPP aliona kuna kesi ya kuipeleka mahakamani ndio maana kafanya vile.

Ila sasa kumshawishi Rais amuamuru DPP aondoe kesi ambayo huko ni kuingilia mamlaka ya DPP na mahakama ambayo inaendelea kuisikiliza hiyo kesi.

Kama ni hivyo basi tunakie na Rais tuachane na kuwa na mihimili kama Bunge na Mahakama maana Rais ndio kila kitu.
Kama alivyoona kwenye ile ya mashehe eti eeh!
 
Lissu ni Dikteta kwa kuwa anamshawishi Rais Samia kutozingatia utawala bora na kuingilia mihimili mingine.

Lissu anataka Samia avunje Ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuingilia Bunge la JMT kwa kuwaondoa wabunge wanaowawakilisha wananchi tena jambo baya zaidi wabunge hao ni wa chama cha upinzani ambao Rais hana mamlaka nao kwani yeye anatoka chama kingine.

Lissu anataka Rais Samia avunje Ibara ya 107A na 107B ya katiba kwa kuingilia uhuru wa mahakama pale alipomtaka Rais kufuta kesi ya Mbowe.

Kwa kufanya hivyo Rais atakuwa ameingilia Mhimili wa Mahakama ambao upo katika mchakato wa kutoa maamuzi kuhusiana na suala la Mbowe.

Inasikitisha mno kwamba Lissu kama kiongozi wa Chama Cha Upinzani anahimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi tena akiwa mtaalam wa sheria.

Lissu anafanya yote haya akiwa hana mamlaka.

Je akiyapata? Nina imani kabisa kabisa kwamba endapo mtu kama huyu akipewa mamlaka tutashuhudia uvunjifu mkubwa wa katika kuwahi kutokea katika historia ya Taifa letu.

Ni hitimishe kwa kusema kwamba Lissu ametukosea sana watanzania kwa kuweka pembeni taaluma yake ya sheria kwa kuhimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi.

Watu wa aina hii hawapaswi kuaminiwa kupewa mamlaka ya nchi.
Lissu ni kiongozi wa upinzani ambaye tangu 2017 amekuwa akiishi nje ya nchi, hana nguvu ya kimamlaka au kitaasisi ya kuweza kuingilia utendaji wa SSH.

Kumbuka kuwa SSH na Lissu walisalimia kirafiki tu kama watu wanaofahamiana lakini utendaji kazi wao wa ofisi wanazoziongoza bado upo pale pale ukifuata nidhamu zile zile za siku zote.
 
Rais ilipofuta kesi ya mashekh wa uamsho hajavunja katiba au kuingilia mahakama ????
 
Kama swala lipo mahakamani kwanini mahakama isiachwe ifanye kazi yake.

Na vipi kuhusiana na kuwaondoa bungeni wabunge wa chama ambacho yeye hahusiki nacho ?

Wewe unaona ni sahihi??
Mwenye kuipeleka kesi mahakamani ndiye mwenye kesi na ndiye anayeweza kuiondoa kwa mjibu wa sheria.

Suala la wabunge lilishatolewa ufafanuzi na chama kuwa walishavuliwa uwanachama wa CHADEMA siyo wanachama wa CHADEMA.

bungeni wapo kwa kuendeshwa na pumnzi ya CCM, CCM wakiondoa pumnzi yao watu wanazikwa mchana kweupe.
 
Lissu ni Dikteta kwa kuwa anamshawishi Rais Samia kutozingatia utawala bora na kuingilia mihimili mingine.

Lissu anataka Samia avunje Ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuingilia Bunge la JMT kwa kuwaondoa wabunge wanaowawakilisha wananchi tena jambo baya zaidi wabunge hao ni wa chama cha upinzani ambao Rais hana mamlaka nao kwani yeye anatoka chama kingine.

Lissu anataka Rais Samia avunje Ibara ya 107A na 107B ya katiba kwa kuingilia uhuru wa mahakama pale alipomtaka Rais kufuta kesi ya Mbowe.

Kwa kufanya hivyo Rais atakuwa ameingilia Mhimili wa Mahakama ambao upo katika mchakato wa kutoa maamuzi kuhusiana na suala la Mbowe.

Inasikitisha mno kwamba Lissu kama kiongozi wa Chama Cha Upinzani anahimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi tena akiwa mtaalam wa sheria.

Lissu anafanya yote haya akiwa hana mamlaka.

Je akiyapata? Nina imani kabisa kabisa kwamba endapo mtu kama huyu akipewa mamlaka tutashuhudia uvunjifu mkubwa wa katika kuwahi kutokea katika historia ya Taifa letu.

Ni hitimishe kwa kusema kwamba Lissu ametukosea sana watanzania kwa kuweka pembeni taaluma yake ya sheria kwa kuhimiza matendo ya uvunjifu wa katiba wazi wazi.

Watu wa aina hii hawapaswi kuaminiwa kupewa mamlaka ya nchi.
Mojawapo ya andiko la ajabu kabisa
 
Rais kufuta kesi sio kuingilia uhuru wa mahakama maana alieshtaki ni DPP ambae ni mteule wa Rais.

Rais haendi kumuamrisha jaji cha kufanya maana uko ndio kuingilia mahakama,Rais anamuamuru Tu DPP kufuta kesi,kumbuka kwa uamsho alivyowatoa...Lissu ni akili kubwa sana kueleweka na narrow brained people.
Mtoa mada anafahamu sheria kuliko Lissu
 
Ddictator la tanzania limeshakufa na kuoza huko kaburin.
Lilipokuwa likipiga risasi wenzie lilikuwa linajua litatawala milele
 
Back
Top Bottom