Lissu ndiye aliyewachochea Acacia?

Kitendo cha Lissu mara tu baada ya kusomwa kwa ripoti ya Prof: Mruma na Ossoro kwamba Acacia hawatalipa deni wanalohisiwa kudaiwa na badala yao wao ndiyo watatushitaki mahakamani, ndicho kinawachochea Acacia kuwa wajeuri kwa madai wanayopelekewa?

Inakuwaje tuliambiwa "wamekubali kulipa" lakini sasa kila leo wanatoa matamko kuonesha kwamba hawadaiwi na hawajui madai ya sasa yanatokana na nini? Jee Lissu ndiye anayewapa kiburi ama wana hoja za msingi kupinga wanachotakiwa kutulipa?

Inawezekanaje Lissu wakati ule alipingana na Maprofesa wawili ambao walitoa ripoti zao kwa Rais, na leo tena ionekane kwamba na Acacia nao hawaziamini ripoti za Maprofesa wale. Jee zile ripoti zimeandikwa nini na kwa nini Lissu alizipinga jee aliziiona ama aliona tu zile taaarifa fupi (Summary) za ripoti zenyewe?

Ni kwa nini mwenendo na matendo pamoja na misimamo ya Acacia ifanane na ya Lissu kwenye hili jambo. Au Lissu na Acacia ndiyo wako kwenye upande wa ukweli dhidi ya uzushi wa kisomi? Kwa nini Serikali haijibu hoja za Lissu badala yake inaishia kumwita mtetezi wa wezi?

Lissu alisema tutashitakiwa, na sasa Acacia nao wanaonekana kuelekea kwenye njia ya kutushitaki. Jee Lissu angesikilizwa wakati ule kama taifa tungepata faida gani ama tungepata hasara gani tofauti na hali ilivyo hivi sasa?

Mpaka hapa tulipofikia Lissu alikuwa sahihi ama waliokuwa wanampinga ndiyo walikuwa sahihi? Tangu sakata hili lianze tumepata nini na tumepoteza nini na uko mbele ya safari tutapata nini na tutapoteza nini?
Hii avatar yako na wewe ni verified user haiwezi kweli kukuletea matatizo kwa wenye dunia?? Yaani Muingereza au Mmarekani anaweza kukunyima Visa-anyway I was just thinking aloud
 
Umenikumbusha hadithi za Abunuasi. Alikuwa akikata mtuhuku kakaa juu ya tawi analolikata. Mtu akamwambia unakata tawi ulilokalia utaanguka. Na kweli muda si mrefu tawi likakatika naye akaanguka nalo. Baada ya kuona hivyo akasema kama unavyosema wewe hapa.

ABUNUASI: Huyu mtu atakuwa ni nabii. Haiwezekani aniambie nitaanguka na kweli nimeanguka. Lazima nimfuate aniambie na siku ya kufa kwangu".

Ni vyema kumwuliza aliyesema watalipa atupe maendeleo ya malipo hayo yakoje. Maana wao walikanusha instantly kwamba hawajakubaliana kulipa kinyume na taarifa iliyokuwa imetolewa eti wamekubali kulipa!.




Kitendo cha Lissu mara tu baada ya kusomwa kwa ripoti ya Prof: Mruma na Ossoro kwamba Acacia hawatalipa deni wanalohisiwa kudaiwa na badala yao wao ndiyo watatushitaki mahakamani, ndicho kinawachochea Acacia kuwa wajeuri kwa madai wanayopelekewa?

Inakuwaje tuliambiwa "wamekubali kulipa" lakini sasa kila leo wanatoa matamko kuonesha kwamba hawadaiwi na hawajui madai ya sasa yanatokana na nini? Jee Lissu ndiye anayewapa kiburi ama wana hoja za msingi kupinga wanachotakiwa kutulipa?

Inawezekanaje Lissu wakati ule alipingana na Maprofesa wawili ambao walitoa ripoti zao kwa Rais, na leo tena ionekane kwamba na Acacia nao hawaziamini ripoti za Maprofesa wale. Jee zile ripoti zimeandikwa nini na kwa nini Lissu alizipinga jee aliziiona ama aliona tu zile taaarifa fupi (Summary) za ripoti zenyewe?

Ni kwa nini mwenendo na matendo pamoja na misimamo ya Acacia ifanane na ya Lissu kwenye hili jambo. Au Lissu na Acacia ndiyo wako kwenye upande wa ukweli dhidi ya uzushi wa kisomi? Kwa nini Serikali haijibu hoja za Lissu badala yake inaishia kumwita mtetezi wa wezi?

Lissu alisema tutashitakiwa, na sasa Acacia nao wanaonekana kuelekea kwenye njia ya kutushitaki. Jee Lissu angesikilizwa wakati ule kama taifa tungepata faida gani ama tungepata hasara gani tofauti na hali ilivyo hivi sasa?

Mpaka hapa tulipofikia Lissu alikuwa sahihi ama waliokuwa wanampinga ndiyo walikuwa sahihi? Tangu sakata hili lianze tumepata nini na tumepoteza nini na uko mbele ya safari tutapata nini na tutapoteza nini?
 
Hii avatar yako na wewe ni verified user haiwezi kweli kukuletea matatizo kwa wenye dunia?? Yaani Muingereza au Mmarekani anaweza kukunyima Visa-anyway I was just thinking aloud

Anti.jpg

Hapana. hiyo siyo Swastika bali nimeweka Anti Sign kuonesha napinga ubaguzi wa aina yoyote ile.
 
Wakati zile ripoti zikiwakilishwa nilitumia robo tu ya akili yangu kujua zile zilikuwa hazina uharisia....tatizo la maprof wetu elimu yao ni kukalili sana....hawajawahi kufanya biashara hata ya genge...hawajawahi kuchimba wala kusafirisha madini.....tume ilijaa upande mmoja tu...

Me siku ile nilikuwa nacheka magu alipokuwa anasema maroli ya dhahabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pangboy gogo la shamba na makilo . Mimi nashangaa eti wale Maprofesa walifanya kazi kwa niaba ya taifa, lakini riporti zao ni siri mpaka sasa!
Watu Wa ajabu tupo tz mkuu.

Kinachoniumizaga eti walifanya ile siku yakukabidhiwa ripot uchwala ni siku yakihistoria kwa taifa.

Mpka leo maigjzo yanazidi kushamili pasipo na vitendo.kama ripot ilitupa haki kwanini tusichukue hatua? Maana hawa walalamikiwa wetu kila cku wanaonesha vi ashilia vya kutokutaka suruu.
 
Nia ya rais ni njema. Nia ya Lissu ni njema. Tatizo lipo katika kuzikutanisha. Rais hakubaliani na TL jinsi ya kufikia tamati yao. Wote 'wanajenga ghorofa, mmoja anaamini ili jengo liwe imara inabidi mainjinia wakae kwanza waondoe tope waweke zege, wasikae meza moja na waweka tope/MIGA. Mwingine anaamini tope la chini haliwezi bomoa ghorofa lililo juu karibu na mawingu. Wakikubaliana nia zao ni njema.

Niseme tu NINGEKUWA RAIS,Lissu au kwa shurti,kwa kupenda au kuagizwa, ningemfanya judge au waziri wa sheria au waziri mkuu kwa lazma ili amsaidie kutatua maandishi tata!
 
Comedian wa magogoni hakutwambia ukweli wa walichoongea na yule shosti wake wa ndege binafsi.
 
Hivi kwenye utawala wa sheria si huwa wanatwambia jambo likiwa mahakamani lisiongelewe nje ya mahakama? Mbona mzee wetu kule Singida kamwongelea Lissu kuhusu jambo lililoko mahakamani? je, hilo siyo kosa?
 
Back
Top Bottom