Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Kweli upinzani kwisha kabisa naona humu ndani karibia wote tunamponda Lisu tukipiga kura humu jamiforum bado magufuli anashinda urais
 
Ninaelewa baadhi ya mambo mengi uliyoandika hapo kwenye gazeti hilo la nipashe.
Ila kwa kifupi, Mungu ndio anapanga nani awe kiongozi, dua lako la kuku halitompata mwewe. Pili, kelele za chura hazimnyimitembo kunywa maji.
Mungu anapanga lakini ukumbuke kuwa Duniani kuna roho ya nuru na roho ya giza .
Hizi zote zina nguvu kama ilivyo kwa usiku na mchana. Yote ni masaa 12.

Aina ya utawala unaoishi kwa ufahari na maslahi makubwa na kila aina ya mamlaka mkubwa kwa kodi za watu wote lakini unabagua watu huwezi kuuita utawala wa Mungu.

Yesu hakukosea aliposema tuombe siku zote kuwa Ufalme wa Mungu uje?
Alijua kuna ufalme wa Giza au shetana ambao upo hivyo tuombe wa Mungu uje.

Suala sio Dua la kuku mana kwa Tanzania ukishabikia mauaji ujue sio muda mrefu yaterejea kwenye familia yako.
Unajua Msigwa na JPM ni MTU na mkwe wake!!
Unajuaje kama Mimi na wewe watoto wetu hawataoana au wajukuu zetu?
Ndio maana tunapinga taifa la watu wanaojengeana chuki za kuuana kwa sababu ya vyama visivyo na roho wala nafsi.
Kwani CCM ikifa kihalali au chadema watu si watabaki hai? Lakini mkianza kuwamaliza watu ili CCM ibaki itabaki na nani?
Hamuoni jinsi taifa lilivyopooza kwa ushindi wa 84%+ ?
Huoni ni bora mngeshinda kwa 51% ya hapali na furaha ingekua kubwa sana na kila mtu angempania mwenzake awamu ijayo na watu wangeishi kwa raha na upendo.?

Unategemea nini Siku Simba ishinde yanga kwa Goli kumi na mbili za kubebwa na refa wazi wazi ?
Huoni ni bora Ingeshinda Goli moja la halali na kwa haki kuliko kumi na mbili ya dhulma? Huwezi kukubali ukweli wa asili mpaka asili itakapokuhukumu mana Damu hua inalipwa kwa damu. Hakuna mbadala wa Damu ya MTU inapomwagwa ardhini. Ni kanuni ya asili.
 
Huyo bhana haishiwi hoja za kijinga kwa Tanzania ipi? Wakat kote wamewajaza wenzao

Asilete ujinga wake ulaya
 
Mungu anapanga lakini ukumbuke kuwa Duniani kuna roho ya nuru na roho ya giza .
Hizi zote zina nguvu kama ilivyo kwa usiku na mchana. Yote ni masaa 12.

Aina ya utawala unaoishi kwa ufahari na maslahi makubwa na kila aina ya mamlaka mkubwa kwa kodi za watu wote lakini unabagua watu huwezi kuuita utawala wa Mungu.

Yesu hakukosea aliposema tuombe siku zote kuwa Ufalme wa Mungu uje?
Alijua kuna ufalme wa Giza au shetana ambao upo hivyo tuombe wa Mungu uje.

Suala sio Dua la kuku mana kwa Tanzania ukishabikia mauaji ujue sio muda mrefu yaterejea kwenye familia yako.
Unajua Msigwa na JPM ni MTU na mkwe wake!!
Unajuaje kama Mimi na wewe watoto wetu hawataoana au wajukuu zetu?
Ndio maana tunapinga taifa la watu wanaojengeana chuki za kuuana kwa sababu ya vyama visivyo na roho wala nafsi.
Kwani CCM ikifa kihalali au chadema watu si watabaki hai? Lakini mkianza kuwamaliza watu ili CCM ibaki itabaki na nani?
Hamuoni jinsi taifa lilivyopooza kwa ushindi wa 84%+ ?
Huoni ni bora mngeshinda kwa 51% ya hapali na furaha ingekua kubwa sana na kila mtu angempania mwenzake awamu ijayo na watu wangeishi kwa raha na upendo.?

Unategemea nini Siku Simba ishinde yanga kwa Goli kumi na mbili za kubebwa na refa wazi wazi ?
Huoni ni bora Ingeshinda Goli moja la halali na kwa haki kuliko kumi na mbili ya dhulma? Huwezi kukubali ukweli wa asili mpaka asili itakapokuhukumu mana Damu hua inalipwa kwa damu. Hakuna mbadala wa Damu ya MTU inapomwagwa ardhini. Ni kanuni ya asili.
Wewe una hekima na busara.
Kuna baadhi ya mambo umeandika hapo juu ambayo ninakubaliana nayo 100%.
Yale nisiyokubaliana nayo kimsingi mm naona una haki ya kusema hapa kama mm nilivyotoa maoni yangu.
Barikiwa saaana mtu wa Mungu.
 
Lisu katoa tahadhari ile ile kama aliyoitoa awali kabla ya shambulio la kwanza kule Dodoma, Wenye Akili timamu watamwelewa vizuri lakini wenye ushetani mwingi watakuja na maneno ya kipumbavu zaidi na kutomuogopa mungu
Mwanaume mzima unajipeleka mwenyewe! Unalishwa, unapewa chumba na mwenzio, unaacha mkeo na watoto aaargh!
Haya Mambo ya haki za binadamu anayotetea anapata huko?
 
Huu upumbavu ndiyo umeikosesha CCM kura mpaka NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani maana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM kutokana na kusheheni watu wapumbavu kama wewe
UNAFIKIRI KWA MAKALIO, tofauti ya kura milioni kumi unasema umeibiwa? ila kwa sasa sishangai tena hii fashion sasa kila anaeshindwa anadai kaibiwa, lissu, trump, n.k.
 
Hatia ni hatia tu huwezi kushinda UCHAGUZI kwa kishindo alafu ukabaki unamuogopa mtu ambae hata wabunge wawili hana nchi nzima na bunge zima.sasa hiyo ni akili au matope.tuache kutawaliwa na ujinga.kama wameshinda kwa HAKI basi wafungue mitandao ya kijamii.Dhamira humsumbua sana mwizi akijua amemwibia maskini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom