Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafakari!Inatusaidia nini kama Taifa
Upuuzi mtupu huu, sikutegemea mwanasiasa mwandamizi kuongea ujinga huu"....Aliyofanya rais ni ya hovyo....Gharama tutakazolipa ni kubwa kuliko mchanga wa Acacia. We will become an economic busket case kama Zimbabwe.... Tumeharibu Mahusiano ya kiuchumi na tutashitakiwa..... "
Tundu Lissu May 30, 2017
Je wazungu waliwai kumuita Mugabe wazungumzeHata Mugabe wananchi wake walikuwa wakimpa sifa kama hizi tunazompa Bwana mkubwa hivi sasa.
Sasa tujiulize Zimbabwe kiuchumi hivi sasa ikoje?
Wenye akili wataelewa Twaweza wamemaliza kila kitu.Inatusaidia nini kama Taifa
Only in Tanzania, mwizi atakaribishwa chumbani halafu walio nje wanaambiwa wamemsaidia mwizi kuingia chumbani.Je wazungu waliwai kumuita Mugabe wazungumze
Nyie ni wapuuzi. Unakaukwa mate kutisha Watanzania wenzako kwa kutetea maslahi ya wazungu. Unajua kweli kilichotokea Zimbabwe hadi ufananishe na issue ya Acacia??Hata Mugabe wananchi wake walikuwa wakimpa sifa kama hizi tunazompa Bwana mkubwa hivi sasa.
Sasa tujiulize Zimbabwe kiuchumi hivi sasa ikoje?
Huko ndiko tunakoambiwa wananchi wake wanabeba makapu ya manoti wanapokwenda shopping ya kawaida tu Super market!
The same life style of Idi Amin's Uganda of those years of 70's
Inakuja muda siyo mrefu.Hata Mugabe wananchi wake walikuwa wakimpa sifa kama hizi tunazompa Bwana mkubwa hivi sasa.
Sasa tujiulize Zimbabwe kiuchumi hivi sasa ikoje?
Huko ndiko tunakoambiwa wananchi wake wanabeba makapu ya manoti wanapokwenda shopping ya kawaida tu Super market!
The same life style of Idi Amin's Uganda of those years of 70's