Daniel son
Member
- Jun 6, 2017
- 24
- 23
Ujaelewa alichoongea lissu ndo maana unapayukaWameishiwa kisiasa, Magu kawashika hawana la kuropoka tena!
Ujaelewa alichoongea lissu ndo maana unapayukaWameishiwa kisiasa, Magu kawashika hawana la kuropoka tena!
Ujinga wa Lissu ni upi? wale mnaotetea ujinga bila kujielewa tuwaweke upande upi, upumbavu?Upuuzi mtupu huu, sikutegemea mwanasiasa mwandamizi kuongea ujinga huu
Point yako ni ipi sasa.Nyie ni wapuuzi. Unakaukwa mate kutisha Watanzania wenzako kwa kutetea maslahi ya wazungu. Unajua kweli kilichotokea Zimbabwe hadi ufananishe na issue ya Acacia??
Historia inatufundisha kuwa hata enzi za utumwa Waafrika wa ovyo ovyo kama wewe walikuwepo pia.
wastaafu sasa wanaongelewa kwa maandishi ya kiakili kubwa kubwa.
Wazimbabwe wamestahimli hiyo gali je wabongo tutatoboa? MCC wameminya kidogo tu, bajeti ya kilimo 3%Hata Mugabe wananchi wake walikuwa wakimpa sifa kama hizi tunazompa Bwana mkubwa hivi sasa.
Sasa tujiulize Zimbabwe kiuchumi hivi sasa ikoje?
Huko ndiko tunakoambiwa wananchi wake wanabeba makapu ya manoti wanapokwenda shopping ya kawaida tu Super market!
The same life style of Idi Amin's Uganda of those years of 70's
Kama mlivyofanya kwa Lowasa hadi chumbaniOnly in Tanzania, mwizi atakaribishwa chumbani halafu walio nje wanaambiwa wamemsaidia mwizi kuingia chumbani.
Mawazo mazuri mkuu odhis!Je kwa wale mnaoshabikia pande hizi zilizotofautiana je
1. Mazungumzo yameisha na kuna upande ulioshinda?!
2. Kwa nini kila upande unaona mawazo ya upande wa pili kama kikwazo?! Kwa tusikae kuona mawazo ya kutusaidia mbele ya mazungumzo na hawa watu?!
3. Sote tu WaTz wazi hili la madini Maghufuli amelipokea na kulikubali baada ya wapinzani kulilalamikia kwa miaka mingi. Hivyo hakuna sababu ya kuzodoana, sote lengo ni moja
Only in Tanzania, mwizi atakaribishwa chumbani halafu walio nje wanaambiwa wamemsaidia mwizi kuingia chumbani.
Pamoja na kuwa ni GT lakini ana udhaifu mkubwa sana huyu Lissu na anaponyoka kwa udhaifu huo kwasababu watu wengi tumeshaamini kuwa kila anachokisema kina maana. Jiulize imekuwaje awalaum polisi kwa kuwavurumisha wahuni waliingia katika mgodi ati tu wamiliki wa mgodi ni wezi na yeye kama mwanasheria huoni kama anataka kutuona wote ni majuha kama wale waliodeki barabara ya vumbi?lissu ni great thinker. watanzania wengi ni washabiki tu hawajielewi.