Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Tunaiona sana, nenda Chanel ten inarushwa live pia YouTube imejaa. Ila ya salum Mwalim hata YouTube hakuna, pesa ya kurusha hakuna?Ya Samia na Majaliwa pia haionekani. Tatizo nn ? Hata wanafunzi wamegoma kuhudhuria?