Lissu na CHADEMA wanatafuta kura za ruzuku na sio idadi ya wabunge au kupata urais

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Zaidi ya asilimia 80 ya maeneo Tundu na Chadema wanayopita kufanya kampeni hakuna tumaini la kupata diwani au Mbunge sababu ni aidha wagombea waliowekwa na Chadema ni dhaifu au hakuna kabisa.Mfano mzuri ni Jimbo la Mbagala ambapo ilimlazimu Mbowe kukataa Lissu asisome ilani na ya chama kufuatia hamasa ndogo iliyokuwepo.

Sasa Chadema wamebadili upepo na kujikita kupata angalau asilimia 5 ya kura za uraisi ili kuendelea kupata ruzuku huku wakitegemea kudra kupata wabunge na madiwani.

Naam,muda unaenda kasi sana.
 
Ndugu zangu,

Zaidi ya asilimia 80 ya maeneo Tundu na Chadema wanayopita kufanya kampeni hakuna tumaini la kupata diwani au Mbunge sababu ni aidha wagombea waliowekwa na Chadema ni dhaifu au hakuna kabisa.Mfano mzuri ni Jimbo la Mbagala ambapo ilimlazimu Mbowe kukataa Lissu asisome ilani na ya chama kufuatia hamasa ndogo iliyokuwepo.

Sasa Chadema wamebadili upepo na kujikita kupata angalau asilimia 5 ya kura za uraisi ili kuendelea kupata ruzuku huku wakitegemea kudra kupata wabunge na madiwani.

Naam,muda unaenda kasi sana.
Nyumba nzima malumumba mnaweweseka, sijui nani wa kumliwaza mwingine.

“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
 
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Nyumba nzima malumumba mnaweweseka, sijui nani wa kumliwaza mwingine.

“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
 
Mataga mmepagawa aisee!Yaani ni nyuzi zilizojaa pumba tu!Jamani kuna vijana wengi wapo kitaa hawana ajira,wapeni ajira wawasaidie kuandika propaganda zenye hoja!
 
Nyumba nzima malumumba mnaweweseka, sijui nani wa kumliwaza mwingine.

“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Unajua magufuli ni msahaulifu sana,!
Hata dhambi nayotenda mwenywe haoni bado anatuuliza.
Hivi anataka kusema kweli kwamba dhambi ya kuua ajawahi kufanya adharani kweli?
 
Wewe jua 28/10/2020

Ndo utajua kwanini jiwe anafokea wasukuma wenzake

Hivi ruzuku ni kwa aliefikisha 5% za uraisi na sio idadi ya wabunge?
 
Ndugu zangu,

Zaidi ya asilimia 80 ya maeneo Tundu na Chadema wanayopita kufanya kampeni hakuna tumaini la kupata diwani au Mbunge sababu ni aidha wagombea waliowekwa na Chadema ni dhaifu au hakuna kabisa.Mfano mzuri ni Jimbo la Mbagala ambapo ilimlazimu Mbowe kukataa Lissu asisome ilani na ya chama kufuatia hamasa ndogo iliyokuwepo.

Sasa Chadema wamebadili upepo na kujikita kupata angalau asilimia 5 ya kura za uraisi ili kuendelea kupata ruzuku huku wakitegemea kudra kupata wabunge na madiwani.

Naam,muda unaenda kasi sana.
Siasa za kulipa watu mitandaoni zilifanya kazi enzi za Nape na Kinana. Acha kuchekesha walionuna
 
Ndugu zangu,

Zaidi ya asilimia 80 ya maeneo Tundu na Chadema wanayopita kufanya kampeni hakuna tumaini la kupata diwani au Mbunge sababu ni aidha wagombea waliowekwa na Chadema ni dhaifu au hakuna kabisa.Mfano mzuri ni Jimbo la Mbagala ambapo ilimlazimu Mbowe kukataa Lissu asisome ilani na ya chama kufuatia hamasa ndogo iliyokuwepo.

Sasa Chadema wamebadili upepo na kujikita kupata angalau asilimia 5 ya kura za uraisi ili kuendelea kupata ruzuku huku wakitegemea kudra kupata wabunge na madiwani.

Naam,muda unaenda kasi sana.
60% kura za urais ni ruzuku au ikulu?
 
Hamna hoja, mtatoa unabii sana mwaka huu lakini Lissu ataendelea kuwashangaza, hamtoamini macho yenu mpaka siku anaapishwa pale uwanja wa uhuru.
 
Nilisha kushauri uache bangi.. hata husikii..
Ndugu zangu,

Zaidi ya asilimia 80 ya maeneo Tundu na Chadema wanayopita kufanya kampeni hakuna tumaini la kupata diwani au Mbunge sababu ni aidha wagombea waliowekwa na Chadema ni dhaifu au hakuna kabisa.Mfano mzuri ni Jimbo la Mbagala ambapo ilimlazimu Mbowe kukataa Lissu asisome ilani na ya chama kufuatia hamasa ndogo iliyokuwepo.

Sasa Chadema wamebadili upepo na kujikita kupata angalau asilimia 5 ya kura za uraisi ili kuendelea kupata ruzuku huku wakitegemea kudra kupata wabunge na madiwani.

Naam,muda unaenda kasi sana.
 
Nyumba nzima malumumba mnaweweseka, sijui nani wa kumliwaza mwingine.

“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Yaani nyie chadema mnapigwa mbele nyuma kushoto kulia juu chini sasa mnaona maruwe ruwe tu,
Hebu twambieni salum mwalimu nae kasafiri au?
Maana simuoni kabisa, amezidiwa na babu duni enzi yake ya ndembe ndege chaliiiii.
Mbowe nae katokomea kusiko julikana😁😁😁😁😁
 
Lumumba acheni kutapatapa. Rufani zote za wabunge na madiwani wameachiwa wanasheria wa Chadema kuzifuatilia na kuzishighulikia.

Sasa ulitakaje? Kwamba Lisu asuse kufanya kampeni ili John apite bila kupingwa?
 
Yaani nyie chadema mnapigwa mbele nyuma kushoto kulia juu chini sasa mnaona maruwe ruwe tu,
Hebu twambieni salum mwalimu nae kasafiri au?
Maana simuoni kabisa, amezidiwa na babu duni enzi yake ya ndembe ndege chaliiiii.
Mbowe nae katokomea kusiko julikana😁😁😁😁😁
Salum Mwalimu yuko Muheza
 
Watu wamechoka na uongo wenu.Mmeanza kupigana spana kwenye mikuatano yenu.View attachment 1566987
Tulivyo huru tunawapa watu nafasi watoe mawazo yao,
Huyo alikuwa CCM hakulizika ndo maana akienda vyama vingine lakini kapewa Mike atoe neno ila ingekuwa CHADEMA wangemshambulia pale na angetoka pale kwenda kuzikwa.
 
Back
Top Bottom