Lissu: Mtu/Watu wenye nguvu walipanga kuniua kwa namna ambayo ingekuwa fundisho kwa wengine

Hivi watu kwa wastani kwa sasa kuna mtu anafikisha miaka hata 100

Maana hawa wanaofikisha miaka 90 sasa mfano Mzee Mwinyi utotoni na ujanani kwao hakukuwa na Baga au kuku wa mwezi mmoja halafu unatafuna

Walikula mavitu ya porini sana hata chumvi au sukari hawakuijua iliishia kwa mkoloni

Sasa mtu ukimuua mwezako halafu una miaka zaidi ya umri uliobakiza kuishi utapata nini?

Hivi ni vichekesho sana, Mtu ukifariki kwanza hakuna anayependa kukaa na wewe unakimbizwa mochwari

Sasa hata magari au elimu au vyeo na majumba vyote unaacha hapa hapa duniani

Ndio maana wengine wakiacha pesa Bank ndugu wanaamua kumuandikia marehemu cheki halafu cash inaendelea kuwepo Bank, Sasa sijui hiyo check ukizikwa nayo utatolea Bank gani pesa
 
Prayer for the Man Who Mugged My Father, 72
Charles Harper Webb
May there be an afterlife.

May you meet him there, the same age as you.
May the meeting take place in a small, locked room.

May the bushes where you hid be there again, leaves tipped with razor-
blades and acid.
May the rifle butt you bashed him with be in his hands.
May the glass in his car window, which you smashed as he sat stopped
at a red light, spike the rifle butt, and the concrete on which you’ll
fall.

May the needles the doctors used to close his eye, stab your pupils
every time you hit the wall and then the floor, which will be often.
May my father let you cower for a while, whimpering, “Please don’t
shoot me. Please.”
May he laugh, unload your gun, toss it away;
Then may he take you with bare hands.

May those hands, which taught his son to throw a curve and drive a nail
and hold a frog, feel like cannonballs against your jaw.
May his arms, which powered handstands and made their muscles jump
to please me, wrap your head and grind your face like stone.
May his chest, thick and hairy as a bear’s, feel like a bear’s snapping
your bones.
May his feet, which showed me the flutter kick and carried me miles
through the woods, feel like axes crushing your one claim to man-
hood as he chops you down.

And when you are down, and he’s done with you, which will be soon,
since, even one-eyed, with brain damage, he’s a merciful man,
May the door to the room open and let him stride away to the Valhalla
he deserves.
May you—bleeding, broken—drag yourself upright.

May you think the worst is over;
You’ve survived, and may still win.

Then may the door open once more, and let me in.
 
Daud Arbaty Bashite ndiye alikwenda Dodoma akiambatana na wasiojulika wanne na Le mutuz, jerry muro muro, cyprian Musiba na Heri kisanduku ambaye ndiye alimimina Risasi kwa maelekezo ya Cyprian musiba aliyekuwa na bunduki ndogo yaani bastora
Looohhh!! Hawa jamaa wapo kwenye hali ngumu now.
 
Back
Top Bottom