MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Kichaka cha kujificha a.k.a kutest kama jamaa anatujua nini ni kujaribu kum-force ataje ushahidi.Tatizo la Mh lissu ni kuwa anajihami sana, kingne hana ushahidi kama angelikuwa na ushahidi angeutoa mapema, kingne Mh ni muoga sana inawezekana ushahidi anao lakni akawa muoga.
Kwan anatoa ushahidi wa waliompga au waliofanya mbinu za kumpga?
Je hao waliompga risasi wanaweza wakawa hai mpaka sasa?
wakati ukuta.
Adui wa Tundu Lissu ni JIWE, ambaye tabia yake tunaifahamu.
JIWE katoa vitisho hadharani kwenye TV baada ya **** jamaa hatishiki, kufunguliwa mashtaka kila kukicha akaona hamwezi akaona dawa ni RISASI.
Hili hata wanaotetea wanajua ila ndio hivyo wanajaribu KUMWOKOA MNYONYA DAMU Wao.