Lissu: Mtu/Watu wenye nguvu walipanga kuniua kwa namna ambayo ingekuwa fundisho kwa wengine

Hivi Chadema waliwezaje kuondoa ulinzi maeneo yote Yale? Hivi Chadema si ndio walimsindikiza hadi Nairobi? Kwanini hawakuchomoa madrip kwenye ndege akajifia, ile si ilikuwa nafasi ya pekee kukamilisha Mission? Hivi Chadema wanaweza kumshawishi mkuu asitoe kibali cha pesa za matibabu? Hivi hasa Chadema wamepeleka wapi CAMERA ya Kalemani halafu Kalemani akawaacha tu utadhani ni CCM kachukua? Kwanini Tundu Lisu aparamie serikali wakati wasiojulikana ni CHADEMA, huu si ni upotoshaji wa hali ya kiwango cha flyover? Inawezekana mbunge Mollel amekimbia wauwaji kwenda kwa watetezi wa wanyonge eti? Ngoja niendelee kutafakari!
 
Daud Arbaty Bashite ndiye alikwenda Dodoma akiambatana na wasiojulika wanne na Le mutuz, jerry muro muro, cyprian Musiba na Heri kisanduku ambaye ndiye alimimina Risasi kwa maelekezo ya Cyprian musiba aliyekuwa na bunduki ndogo yaani bastora
Duh, hukumu yao ipo kabla hawajaonja mauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom