Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,747
- 4,162
Ndio maana katika pole zao walishindwa ku-edit tukaona vituko vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
nakala yake ninayo naweza kuiweka hapa jfIle hotuba yake ilikuwa inasisimua kweli kweli
ngoja niwasiliane na Peter Kibatala kwanza , kwa vile kuiachia hii kitu kishindo chake si cha kitoto
tupia, tupia mkuu....ngoja niwasiliane na Peter Kibatala kwanza , kwa vile kuiachia hii kitu kishindo chake si cha kitoto
Mrushieni Mange Kimambi ataiweka hadharani bila wogangoja niwasiliane na Peter Kibatala kwanza , kwa vile kuiachia hii kitu kishindo chake si cha kitoto
Bashite na mtukufu malaika toka chato ni sawa na Iddy Amin dada na yule msaidizi wake mnyama aliyeitwa MaliyamunguNasikia kabla mwili wake haujapoa mwili ulipaswa uwe kijijini..
Jamaa katili sana..
Malipo ni hapahapa.
Unyama wa hali ya juu Sana.
Looohhh!! Hawa jamaa wapo kwenye hali ngumu now.Daud Arbaty Bashite ndiye alikwenda Dodoma akiambatana na wasiojulika wanne na Le mutuz, jerry muro muro, cyprian Musiba na Heri kisanduku ambaye ndiye alimimina Risasi kwa maelekezo ya Cyprian musiba aliyekuwa na bunduki ndogo yaani bastora