LUFRA LUFTANSA
Senior Member
- Jul 2, 2018
- 159
- 189
ni pumba umeandika!Ifike Muda Lissu ukubali kwamba unajichanganya katika maelezo, pili ujue kuna mamlaka za dunia ambazo Mungu alisema tuziheshimu pia, hivo kelele hazisaidii kitu unatapatapa tu kama mtu aliyekosa la kushikilia, hapa tulia najua BAVICHA hawautaki ukweli huu,
Hakuna cha ICC
Hakuna cha BBC kukusaidia
Hakuna cha Mshahara wako
Hakuna cha huruma ya watanzania wanaojielewa, maana walipoanza kukuhurumia ukahisi una right ya kuhurumiwa na ukaitumia vibaya