Kwa umakini walio nao wabunge wapya wa chadema nina imani watalitawala bunge kwa 90%, maana wabunge walioingia tripu hii wamenikonga moyo, MDEE MNYIKA MBOWE,KABWE, LISU,ktk safu ya ushambuliaji huwa hawafanyi makosa kabisa halafu kati kuna akina WENJE LEMA NDESAPESA,KAFULILA,MH, safari hii najua bungeni lazima tutashuhudia ngumi live, na haswa ukizingatia wabunge wote wa ccm wengi wanakabiliwa na magonjwa ya kisasa kama presha kisukari umeme na kiharusi, tusubiri vioja trip hii