Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
 
120111706_201685584714419_3759505249287563198_n.jpg
CCM inakubalika sana vijijini
 
Lissu endelea kutia spana hawa kunguru tumeshawamaliza.
Mijini anakozurura vyama vyote tupo hiyo asilimia 20 haituumizi vichwa humo tuna asilimia kubwa tu na vijijini tuna competitive advantage ambayo Tanzania hakuna chama cha siasa chaweza tufikia tuko kila mahali hata uende porini vipi CCM tupo tuwaonyeshe kipigo cha mbwa koko October 28
 
Mijini anakozurura vyama vyote tupo hiyo asilimia 20 haituumizi vichwa humor tuna asilimia kubwa tu na vijijini tuna competitive advantage ambayo Tanzania hakuna chama cha siasa chaweza tufikia tuko kila mahali hata uende porini vipi CCM tupo tuwaonyeshe kipigo cha mbwa koko October 28
mataga spana za Lissu zimekuingia kweri-kweri
 
Njaa vijijini ni kampeni tosha, vijijini kuna vijana siku mtashinda Dodoma pekee ndio tunawaachia ccm
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
 

Attachments

  • VID-20200925-WA0000.mp4
    22.2 MB
Back
Top Bottom