Pre GE2025 Lissu: Lembrus Mchome anachokifanya ni kutupotezea muda. Hakufika kikaoni, idadi ameijuaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,068
10,954
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote.

Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa anapinga uteuzi wa viongozi hao uliofanywa na Lissu, Januari 22, 2025, akidai umekiuka katiba ya chama hicho.

Mchome, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro, amesema uteuzi wa vigogo hao uliidhinishwa bila akidi ya kikao cha baraza kuu kutimia.

Leo Jumapili, Februari 23, 2025, Lissu amefanya mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Tegeta jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine ameulizwa swali juu ya barua hiyo na tahadhari zinazotolewa wasije kuingia kwenye mgogoro kama ulivyoshuhudiwa kwa vyama vingine.

Lissu amesema anajua anachokifanya kada huyo ni kuwapotezea muda au hajui vizuri Katiba ya chama hicho kwani wana orodha yote ya wajumbe wa Baraza Kuu lililokutana Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City.

Pia soma
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote.

Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa anapinga uteuzi wa viongozi hao uliofanywa na Lissu, Januari 22, 2025, akidai umekiuka katiba ya chama hicho.

Mchome, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro, amesema uteuzi wa vigogo hao uliidhinishwa bila akidi ya kikao cha baraza kuu kutimia.

Leo Jumapili, Februari 23, 2025, Lissu amefanya mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Tegeta jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine ameulizwa swali juu ya barua hiyo na tahadhari zinazotolewa wasije kuingia kwenye mgogoro kama ulivyoshuhudiwa kwa vyama vingine.

Lissu amesema anajua anachokifanya kada huyo ni kuwapotezea muda au hajui vizuri Katiba ya chama hicho kwani wana orodha yote ya wajumbe wa Baraza Kuu lililokutana Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City.
Kazi ipo.
 
kumeanza kuchangamka lissu chama kina mshinda muda si mrefu wanaingia kwenye mgogoro mkubwa watahenya
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote.

Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa anapinga uteuzi wa viongozi hao uliofanywa na Lissu, Januari 22, 2025, akidai umekiuka katiba ya chama hicho.

Mchome, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro, amesema uteuzi wa vigogo hao uliidhinishwa bila akidi ya kikao cha baraza kuu kutimia.

Leo Jumapili, Februari 23, 2025, Lissu amefanya mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Tegeta jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine ameulizwa swali juu ya barua hiyo na tahadhari zinazotolewa wasije kuingia kwenye mgogoro kama ulivyoshuhudiwa kwa vyama vingine.

Lissu amesema anajua anachokifanya kada huyo ni kuwapotezea muda au hajui vizuri Katiba ya chama hicho kwani wana orodha yote ya wajumbe wa Baraza Kuu lililokutana Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City.

Pia soma
Yanini kumbwelambwela hadi mfikishane kwa msajili?

amehoji kwa barua ajibiwe kwa utaratibu, mayowe yote yanini kwa kiongozi mkuu wa chama kama si yeye ndie anapoteza nguvu tu kujieleza sana na kutafuta tension na huruma ya jamii 🐒
 
Mchome anatumiwa na CCM kama chambo alete mgogoro kisha wasiojulikana wamuue na kuisingizia Chadema kuwa ndiyo wamemuua. Kama kuna ndugu yake humu amuonye atauwawa na CCM ili kuichafua Chadema,nafikiri huyu mchome haijui vizuri CCM hizo hela amepewa kwenye hii project ndiyo kaburi lake,hakika watamuua.
 
Back
Top Bottom