Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,326
- 217,353
Mkurugenzi wa Mambo ya nje wa cuf , Mh Ismail Jussa ni miongoni mwa majina makubwa ya nchini Zanzibar kumtembelea Tundu Lissu hospitali jijini Nairobi , wengine ni Maalim Seif na wasaidizi wake , Mgombea mwenza wa UKAWA Mh Juma Duni Haji , Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Mh Samia Hassan pamoja na Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi.
Mpaka sasa kwa mujibu wa kumbukumbu zangu sijaona mgonjwa Mtanzania aliyetembelewa na watu wengi akiwa matibabu ughaibuni kama Lissu .
Je atavunja rekodi ?
Mpaka sasa kwa mujibu wa kumbukumbu zangu sijaona mgonjwa Mtanzania aliyetembelewa na watu wengi akiwa matibabu ughaibuni kama Lissu .
Je atavunja rekodi ?