Fekifeki
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,453
- 570
Wanalumumba mna matatizo sana!Huyu nyumbx mwenye mashavu kama anapuliza moto tushamchoka
Wanalumumba mna matatizo sana!Huyu nyumbx mwenye mashavu kama anapuliza moto tushamchoka
Unataka aache kusema hata kama kuna uhalifu.Kwani lazima lisu useme kilakitu kwani wewe ndio mtanzania mjuaji wa kilakitu saa zingine achia vingine vipite tu
Kwanini usubiri Lissu aseme wewe hujiwezi.Udhaifu wake hawezi kumkosoa Mamvi, zero MBOWE na SUMAYE. Ataruka ruka kote lakini akiwagusa hao naacha siasa
Hata mimi nilikuwa najiuliza kuwa wahusika wa Tegeta Escrow ni watu wawili tu!?
Atafikiwa tu yule fisadi mliyemchukua...muda ni muamuzi sahihi.
Una uhakika na unachosema labda kukusaidia tafuta ni kwanini Slaa aliachana na siasa za Chadema!UZURIII WA LISUU HANAGA UNAFIKIII
If wishes were horses, beggars would ride.Atafikiwa tu yule fisadi mliyemchukua...muda ni muamuzi sahihi.
Ni mbunge peke yake?Yeye n Mbunge,nyau wew
Tunajua Slaa alifika bei achana na Lissu hana bei.Una uhakika na unachosema labda kukusaidia tafuta ni kwanini Slaa aliachana na siasa za Chadema!