Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
The way unavyoongea ni kama huelewi wanalindwa na naniKi ukweli, mimi naamini safari moja huanzisha nyingine! Mh. Rais hana budi kupongezwa kwa alipofikia, hao wanaolindwa ipo siku madirisha yatachanwa nyavu na wataonekana peupe peee! Time will tell