Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Uwongo mkubwa. Kwani Lissu ni nani? Waziri Mkuu wa ubeligiji, Mkuu wa umoja wa Ulaya na speaker wa bunge, watu hawa wana kazi za maana za kudumisha umoja wa nchi za Ulaya ambao una hatari ya kutengana kwa Uingereza kujitowa. Zaidi ya hapo wana kazi ya kufuata shida za duniani ambazo zinaletwa na Rais wa Marekani kuvunja mkataba wa Irani wa nyukilia. Lissu ni nani? Lissu ni wakili uchwara ambaye anasikilizwa na watu wachache Tanzania wasioelewa siasa za dunia. Lissu amekwisha kisiasa, kizungu Kingi nani anamusikiliza. Nchi zote hizi zinawakiliswa na mabalozi wao, habari zote na sifa za Lissu wanazijuwa. Sifa za chama cha Chadema na kiongozi wa chama hicho wanazijuwa. Lissu angeongelea kodi ya nyumba ya mabilioni anayodaiwa Mbowe,. Ni kitu kidogo, lakini dosari kama hizo kinafanya chama kisiheshimiwe. Lissu hana lolote la kuitisha serikali ya Magufuli anapoteza Wakati wake na kujenga chuki., dunia Sasa ina mambo mengi ya maana kuliko ya Lissu aliyeshambuliwa na watu wasiojulikana.
shithole
 
Huyu jamaa niliwahi kusema dawa yake ni RISASI tu, na zamu hii hachomoi, labda aombe akae huko huko asirudi.
 
Mwabasheria hupimwa kwa kesi hebu tuambie kesi IPI ya maana kubwa ya kihistoria aliyowahi shinda?
Jumuiya ya kimataifa INA maslahi mapana makubwa na Tanzania kuliko kichwa cha Lisu.Jumuiya ya kimataifa ichukue hatua Kisa kuna individuals watatu wanne wamepigwa nondo au risasi kwenye makalio na vibaka???!!!!!!
Mbumbumbu Jazz ya Lumumba OG shithole
 
Lissu ni puppet wa mapebari na kwa sasa ni enemy No.1 wa Watanzania.Kama atapata muda wa kusoma JF nampa ushauri wa bure,aachane na vita hii mbaya aliyoamua kupigana dhidi ya Watanzania akishirikiana na mabepari na badala yake atafute shuhuli zingine za kufanya ambazo zitakuwa za manufaa zaidi kwake, familia yake na jamaa zake.Namhakikishia kwamba kama ataamua kuendelea na vita hii mbaya,he will not win,he will loose miserably.We ordinary Tanzanians are firmly united behind our president.
Mr.President,go,go,go,you are assured of our unwaivering support.
"It's better to die martyr while defending justice than live to perpetrate evil". NB:We all have to die sometime and even the perpetrators of evil will not be spared. Mind you.
 
Huyu jamaa niliwahi kusema dawa yake ni RISASI tu, na zamu hii hachomoi, labda aombe akae huko huko asirudi.
Da, kwa hiyo unawafamu walomjeruhi! Au ni wewe, kumbe assassins tunao humu humu ila take it from me hata nyie hamtabaki mkila bata. Sure I tell you something extraordinary will have to happen as a retribution.
 
Wameshajua ndiyo maana wakaja na hili:
Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, leo kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.

"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".
Khah!
 
Sijui ulikuwa na umri gani wakati tulipokuwa tunashupalia akina John Foster na Botha wawekewe vikwazo na mataifa hayohayo? Kwa kiasi fulani tulifanikiwa na South Africa ya leo sio ile ya Foster!


Hivi unafahamu ni Binadamu wangapi Dunia hii wamepanga foleni Ofisi za Wazungu kuwaelezea matatizo yao? Au unafikiri ishu ya Tundu Lisu ni special na ya kipekee?
 
Hivi nyie mnaoendelea kumuenzi Trump ushithole Akilini, Mioyoni na midomoni mwenu, hamwoni kama ni kitendo cha aibu kubwa Nchi yetu TZ iliyokuwa na sifa nzuri ya amani iliyojengwa na waasisi wetu makin na weledi wa kuongoza Nchi hasa Mwl.Nyerere, kugeuka Nchi ya kuongozwa kwa mbinu ya UGAIDI km ule wa Al-Shabab, Al-Kaida, Boko Haram nk.!? Mtu yeyote aliyemzima kwenye Akili, hawezi kufurahia Nchi yetu kufanana na Nchi za Kidikteta na zenye magaidi!
Pointless
 
Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
Mbona inaonekana umeumia sana mkuu, this is a politics
 
Da, kwa hiyo unawafamu walomjeruhi! Au ni wewe, kumbe assassins tunao humu humu ila take it from me hata nyie hamtabaki mkila bata. Sure I tell you something extraordinary will have to happen as a retribution.
You know nothing about RETRIBUTION, siku ukijua alichofanya mpaka akatwangwa risasi ndo utapata akili ya kuwa huyo jamaa sio shujaa kama mnavyodhani.Endeleeni kumpa kichwa mitandaoni.
 
Kumpiga risasi 38 Lissu ilikuwa kosa kubwa. Kupona kwake dhidi ya shambulizi hilo ni kosa kubwa sana, tena zaidi sana walilolifanya watesi wake.
 
Kiongozi kama Ung'eng'e kwako ni issue si utumie kiswahili tu..? Sasa unaposema a politics unatupa ujumbe gani kaka wakati unafahamu hicho si kiingereza?
 
Kwa kweli nilikuwa najiuliza kwa nini lissu apelekwe ubelgiji badala ya nchi nyingine mahiri kwa utabibu wa binadamu, kumbe ni mbinu nyingine ya kwenda jumuia ya ulaya kwa mgongo wa matibabu?
Hao wabelgiji si ndio walimuua Patrice Lumumba wa Congo kwa kumyeyusha na acid au?
Poor politics za cdm hadi mnatukera wapiga kura.
Ila mnafurahishwa na waliommiminia risasi 38 na kumnyima haki yake ya matibabu
 
Back
Top Bottom