Lissu kuhutubia Bunge la Marekani mwezi April 2019, atakuwa mbunge wa Kwanza mtanzania kuhutubia Congress ya Marekani

Ikitokea ikawa hivyo, hili litakuwa ni tukio la kipekee kabisa , kama ilivyokuwa kwa tukio la mtu kuchakazwa risasi zaidi ya kumi na kuendelea kudunda.

Lakini hasa upekee utakuwa ni juu ya Tanzania kuwekewa umhimu wa namna hiyo. Nadhani hasa kichocheo kitakuwa ni jinsi watawala wanavyozidi kuchochea kuminywa kwa haki kwa wananchi wao. Na hili linategemewa kuongezeka kadri uchaguzi mkuu unavyosogelea.

Hata kama hapatasemwa chochote baada ya tukio hilo kama kweli litakuwepo, taa ya njano itakuwa imeiangaza Tanzania yetu dunia nzima.

Kama ingetokea safari hiyo ikawepo na kupewa heshima ya namna ya pekee hiyo kuwahi kutokea, jambo la kuombea lingekuwa moja tu. Wananchi wa Tanzania wasaidiwe kuwachagua viongozi wao bila ya kushawishiwa na mtu yeyote wa nje, na bila kuwepo mizengwe ya chama kimoja kujitwalia madaraka ya kuendesha uchaguzi huo.

Wakiweza kutusaidia kwa hili, watakuwa wamefanya jambo jema sana.

Hata akiweza kuongea na Kamati tu ya Cngress, na isiwe Congress nzima, ingetosha kabisa kuchukua heshima kubwa.
Hawa watu wasiojulikana wa awamu hii ya 5 wanatia doa sana
 
Nionavyo kwa kuwa watanzania tuliowengi tumekuwa wazalendo kwa miaka mingi na nchi yetu hatujawahi kuwa wanasiasa wa ovyo km Akina Lissu,Zitto,Mdee itifaki imezingatiwa huu ujinga wa kulichafua Taifa letu Tanzania kwa uchu wa madaraka Mungu ataendelea kulichimbia kaburi Li-CHADEMA na atalifukia 2020 halitafufuka tena watabak wanaharakati uchwara.
Acha upumbavu wako watanzania wapi unawasemea? Wewe mwenyewe hujielewi kama hao ni wahaharakati uchwara si mungewaacha wajifie wenyewe??iweje mnazuia mikutano ya siasa mnawabambikia kesi, mnawapiga Risasi na kuwafanyia visa vya kila aina? Kaa utambue kuwa watanzania si wajinga kama unavyofikiria wanajua vyote kuliko wewe kilaza uliyelala ukawaza ujinga ukiajiandikia pasipo kutafakari kwanza
 
Kamanda utawaua hawa watu, acha wapumue, mana washaanza kutoa viushuzi huku#yuuuuuusuph. 😂😂😂😂😂😂😂
 
#Mpya

MH. TUNDU LISSU KUONGEA NA CONGRESS MAREKANI.

Mh. Tundu Antipas Mwigwai Lissu anatarajiwa kurudi United States of America kuongea na Bunge la Marekani mwezi wa nne mwaka huu.

Akiongea kutokea ofisi zake za Bunge Washington DC leo Ijumaa asubuhi Rep. Christopher Smith- New Jersey amesema Mh. Lissu atapata nafasi ya kulieleza Bunge la Marekani changamoto za Demokrasia Tanzania.

Zaidi, Rep. Smith ameseam Mh. Lissu atatumia muda huo kulieleza Bunge la Marekanai mkasa wote wa tukio la kupigwa risasi kumi na sita.

Mh. Lissu anatarajiwa kurudi USA wiki ya pili ya mwezi wa nne.View attachment 1035689
Hii inaitwa tit for tat!
 
#Mpya

MH. TUNDU LISSU KUONGEA NA CONGRESS MAREKANI.

Mh. Tundu Antipas Mwigwai Lissu anatarajiwa kurudi United States of America kuongea na Bunge la Marekani mwezi wa nne mwaka huu.

Akiongea kutokea ofisi zake za Bunge Washington DC leo Ijumaa asubuhi Rep. Christopher Smith- New Jersey amesema Mh. Lissu atapata nafasi ya kulieleza Bunge la Marekani changamoto za Demokrasia Tanzania.

Zaidi, Rep. Smith ameseam Mh. Lissu atatumia muda huo kulieleza Bunge la Marekanai mkasa wote wa tukio la kupigwa risasi kumi na sita.

Mh. Lissu anatarajiwa kurudi USA wiki ya pili ya mwezi wa nne.View attachment 1035689


Hapo Lissu atapiga hela ndefu sanaaaa...!! Ila Lissu ajue mzungu hakuwahi kuwa rafiki wa kweli wa mwafrika..!!
 
... atakuwa mbunge wa kwanza kutoka Tanzania au atakuwa mtanzania wa kwanza? Sina kumbukumbu ya mtanzania yeyote kuhutubia Congress chombo kizito kuliko hata UN kwa siasa za dunia!
Buku 7 WA lumumba lazima waje kukupinga mkuu. Manake hayo mengi ni vilaza aina bashite hayajui dunia inakwendaje!
 
Good for him, hilo linatikea wakati wowote, na umedanganya kuwa Lissu atakuwa mbunge wa kwanza wa Tanzania kufanya hivyo. 1978 - 79 kulikuwa na mbunge wa kitanzania alialikwa na ajazungumza hapo congress, huyo mbunge alialikwa na congressman aliyesima nae chuoni usa.

Nitajaribu kulikumbuka jina na natalileta hapa. Pia 1999 wabunge wawili wa Somaliland nchi ambayo haijatambuliwa , walipewa fursa ya ku,ungumza na congress kwa kulihutubia baraza la Congress.

Hiyo fursa hupewa kina mwana congress, anaweza mkaribisha hata shetani, bira atimize masharti na muda uwe muafaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaandika hadithi ndefu bila data mkuu? Hebu acha basi mabishano ya kwenye vijiwe vya kahawa kama huna data!
 
Lisu punguza speed utawauwa watu Na presha

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Mwaka juzi Marekani kupitia shirika lake la kutoa misaada usaid limetoa dolla milion 225 na kuipatia tanzania kwa ajili ya miradi mbali mbali.

Wewe mwafika ushawahi kumpa hata ombaomba pale kariakoo laki 5 tu bila kumkopesha?

Lakini marekani unayoisema haina good plan imetoa zaidi ya billion 500 kuipa tanzania yenye good plan ambayo haijawahi hata kutoa msaada wowote kwa mmarekani

Sent using unknown device
Once they give u 5000 they take from u 5B!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri Mafools anatamani awatume vijana wake wasiojulikana huko Belgium, mtamuua Rwanda wa Kagame kwa BP
 
Angealikwa Bashru Ally wapiga debe wa Lumumba wangelipuka kwa nderemo Vifijo na Hoihoi pasingekalika humu.

Lakini kwa Sasa Ati Congo foresti...hata kwa Tishekedi ipo
 
Tukutane April kwenye Congress...ili ushuhidie jinsi mtu anatakavyo vuliwa nguo kwa mara ya Pili...

NB
1USD.....2430Tsh

Mpo vizuri kupika takwimu, kudos!!!
Screenshot_20190302-111424~2.jpeg
 
88 Reactions
Reply
Back
Top Bottom