Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa
Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu
Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi
Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.
Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.
Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.
Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu
Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi
Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.
Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.
Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.