Lissu kugalagazwa vibaya sana uchaguzi ujao, Mkumbo kubeba jimbo kiulaini

Yani niliposikia kikwete amesema ni bora slaa aende ikulu na sio lisu kuwa mbunge nilijua lisu basi.
Haya ni marudio.Hata hivi hategemei huo ubunge.


Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
 
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa

Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu

Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi

Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.

Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.

Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.
Hivi wewe unaongea huu utumbo ukiwa unahara au unaota mchana kweupe?
 
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa

Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu

Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi

Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.

Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.

Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.
Mwambie Jpm akajaribu kugombea hili jimbo la Lissu uone kama hajadhalilishwa
 
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa

Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu

Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi

Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.

Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.

Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.
Kumtoa lissu ikungi sawasawa na ccm kufukuza machizi yote ndani ya chama
 
Akili zako zenu kama kifurushi cha jaza ujazwe mnaweza uchaguzi tuu kila siku?
 
Mkumbo anatoka Ndago,Iramba kwa Mwigulu,Ikungi kwa Lissu akatafute laana?
 
Mkuu Tundu Lissu siyo Mnyiramba bali ni Mnyaturu. Makabila hayo mawili ni majirani lakini yanatofautina kimila na desturi. Mtu ambaye anaweza kumpa shida Tundu Lissu kwenye uchaguzi lazima awe Mnyaturu kuliko Mnyiramba. Anna Mghwira na Njau ni tishio kwa Tundu kuliko Prof Mkumbo.
Faida aliyonayo Tundu Lissu ni kuwa anawafuasi wengi Vijana waliohamasika kupiga kura. Vijana Wachimba madini wanaona yeye ndiyo Mtetezi wao wakati Serikali na CCM ni Wanyanyasaji. Pia wapo wanaompenda kwa sababu ya upinzani wake kwa Ujumla Kitaifa Hata kama hajafanya mengi ya Maendeleo Jimboni mwake ( Elimu hajaisemea kabisa). Tundu Lissu umarufu wake unambeba kuliko utendaji huko Jimboni mwake. Angalizo kwa Tundu Lissu, uchaguzi uliopita nyumbani kwake alikosa kura na Diwani pekee kutoka CCM ni wa Kata yake!! Hiyo inaonesha dalili mbaya ingawa pia kuna ukweli kuwa Nabii hapati heshima kwake ila unaweza ukawa ndiyo mwanzo wa mwisho wa utawala wake kisiasa Jimboni mwake.
Umenena vizuri. Ngoma anayopiga JPM kuhusiana na uchimbaji madini hata hao vijana wajimboni kwake wanaifurahia, hivyo wataachana na Lissu aliyekomalia kuwatetea wachimba madini wazungu wanaotuibia na kunyanyasa wachimbaji wadogo wadogo wetu wazawa.
 
Mkumbo anatoka Ndago,Iramba kwa Mwigulu,Ikungi kwa Lissu akatafute laana?
Asichokijua mleta mada ni kuwa hata iweje Mnyaturu hawezi wakilishwa na Mnyiramba,kwa anae elewa asili ya huu mkoa atanielewa vema.
 
Wewe ndiyo taahira kabisa huyo Mkumbo mtu wa Iramba Sasa na ikungi wapi na wapi? Au unalazimisha umaarufu?
 
Maeneo mengi upinzani utapoteza - Jimbo la Buyungu wilaya ya Kakonko mkoani kigoma nako CDM itapoteza - Msakila KABENDE (CCM) ni tishio!!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom