Mkumbo ni wa Iramba sio jimbo la Lissu bali la MwiguluAman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Kabla ya yote husika na kichwa cha habal hapo juu
Najua hiz ni habali mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wez
Ukweli ni huu hapa uchaguz ujao lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi pro mkumbo, wananch wako wamechoka kuongozwa na kilaza kama wewe uliyefoj uanasheria maana ulifel kitu kilichopelekea kuwa unarudia rudia kila mara
Kingine kilichowachosha wananch wako ni tabia yako ya kutetea wez
Sasa ukome jimbo ndo hivyo tena linasepa wewe kaa na njaa zako kwaher katundu kalisu tulikupenda sana ila ndo hivo tena hakuna namna, sasa unaenda kubak history
Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka pro mkumbo jimbo linakusubil wananch wameamua
hizo ndizo ziliwashinda kuiba mkaona aibuJamaa aliponea chupu chupu kwa kura 53
Miraji Mtaturu hana hamukumtoa lissu jimboni kwake mjipange. kwa vile mmepeleka mkurugenzi kada kule ikungi sijui. lissu ni mbunge wa kitaifa. hongereni singida mashariki kwa kulitendea haki taifa letu na jimbo letu.
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa
Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu
Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi
Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna chako jimbo linasepa kwa kwa msomi mbobezi Prof. Mkumbo.
Kilichowachosha wananchi wako ni tabia yako ya kutetea wezi.
Hongera sana kwa utumishi na utendaji wako uliotukuka, Prof. Mkumbo jimbo linakusubiri wananchi wameamua.