Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,990
Alihusika kwa Chacha Wangwe ndio kahusika na LissuJiwe ndio muhusika fullstop.
Alihusika kwa Chacha Wangwe ndio kahusika na LissuJiwe ndio muhusika fullstop.
Jinga laoNdugu zangu,
Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.
Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.
Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.
Muda utatujibu.
inaonekana lissu alikuw kikwazo kwenu cha kuleta maendeleo baada ya kumpiga risasi nw tunaizidi China kimaendeleoLissu amesoma alama za nyakati amejua ukweli wa genge la kina mbowe lilivyo la kimafia kufanya siasa za maji taka kuwa mtaji wa biashara zao ukienda kinyume nao tu ndani ya sacos yao tayari.
Haya,Ila Lissu hajafika hata robo ya JPM, ingekuwa wamaana angepewa uenyekiti ChademaCha kutuumiza ni nini? Mmeshajua Magufuli hawezi kushindana na Lissu kwa hoja, hivyo mnaanza kuja na mindgames ili watu wakate tamaa. Ni hivi, Magufuli hawezi siasa za ushindani na wala hatakaa aweze, hivyo suluhu pekee ni yeye kutumia mabavu kutangazwa mshindi
Alihusika kwa Chacha Wangwe ndio kahusika na Lissu
Haya,Ila Lissu hajafika hata robo ya JPM, ingekuwa wamaana angepewa uenyekiti Chadema
Hivi wewe katika kuishi kwako ni kwa ajili ya vyeo tu na huoni jingine zaidi ya cheo? Ona unavyojivua nguo hapa kwamba uliondoka cdm baada UA kuahidiwa cheo siyo?Haya,Ila Lissu hajafika hata robo ya JPM, ingekuwa wamaana angepewa uenyekiti Chadema
kama ni kweli chadema ndio walifanya ule ugaidi basi tuna serikali DHAIFU inayoshindwa kuzuia uhalifu na ugaidi wa chama cha siasa! sasa sema hapa je serikali ni DHAIFU??Nafikiri kajua chadema walichomfanya kisha kuipakazia serikali, kajua kumbe alikua kwenye genge la magaidi yaliokua yanamtumia kama chambo kufikia malengo yao.
Na ufahamu huu kaupata baada ya kuitizama Tanzania kwa mbali , alivyokua nchini ilikua ngumu kung'amua , kwani Magazeti, mitandao ya kijamii ilimuweka front page akajua kamaliza.
Sasa baridi kali ,njaa , umaarufu huko haupo kila mtu na time yake , kulala sebuleni si mchezo.
Pia wale wazungu wa acacia wamemtosa , hawaoni kazi anayofanya kwa sasa.
Majuto mjukuu, kiukweli anajuta sana, kwa kua uhai anao na taaluma anayo aombe kazi za utalishi huko majuu,mungu atamsaidia
dhambi ya kutaka kumuua Lisu inawatesa tu mnaweweseka papalikeni tu siku ya hukumu mtamtaja mpaka aliyetoa wazo la kumuua Lisu. Maana kawaida yenu kufanya dhambi na kuwasukumia wengine.Lissu amesoma alama za nyakati amejua ukweli wa genge la kina mbowe lilivyo la kimafia kufanya siasa za maji taka kuwa mtaji wa biashara zao ukienda kinyume nao tu ndani ya sacos yao tayari.
Wauaji wengi hawakamatwiKesi ya kifo cha Chacha Wangwe iliendeshwa mahakamani, ungeenda kutoa ushahidi. Zile propaganda za kizee za kina Makamba zinawaingia nyie msiojua chochote. Kwenye hili la Lissu hata mkatambikie hamuwezi kubadilisha uhusika wa jiwe.
Wauaji wengi hawakamatwi
Siyo Mkemia, mbona unampaisha hivyo? Yule ni mwalimu wa kemia wa O-level...Nina imani wewe humfikii Lissu kwa chochote kile ingawa tuliwahi kumchangia kutokana na roho zenu zilizojaa kutu ambayo dawa aliyogundua Mkemia imefeli kuondoa hizo kutu
Naunga mkono hoja,Ndugu zangu,
Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.
Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.
Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.
Muda utatujibu.
Toka uitwe bungeni, umekuwa kama joka la kibisa hata ulifanyeje halina madhara.Naunga mkono hoja,
Japo mimi ni miongoni mwa tuliomponza Lissu kwa ushauri huu,
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...www.jamiiforums.com
Ila kwa yale anayosungumza huko ughaibuni, na kwa kuzingatia wasiojulikana wake, bado hawajajulikana, then I doubt kama Lissu ni mtu wa kurudi ili kujileta na kujlkabidhi wamalize ile unfinished business.
P
Nafikiri kajua chadema walichomfanya kisha kuipakazia serikali, kajua kumbe alikua kwenye genge la magaidi yaliokua yanamtumia kama chambo kufikia malengo yao.
Na ufahamu huu kaupata baada ya kuitizama Tanzania kwa mbali , alivyokua nchini ilikua ngumu kung'amua , kwani Magazeti, mitandao ya kijamii ilimuweka front page akajua kamaliza.
Sasa baridi kali ,njaa , umaarufu huko haupo kila mtu na time yake , kulala sebuleni si mchezo.
Pia wale wazungu wa acacia wamemtosa , hawaoni kazi anayofanya kwa sasa.
Majuto mjukuu, kiukweli anajuta sana, kwa kua uhai anao na taaluma anayo aombe kazi za utalishi huko majuu,mungu atamsaidia