Lissu kuacha siasa kwa mtindo ule ule wa Nassari

Na wewe
Ndugu zangu,

Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.

Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.

Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.

Muda utatujibu.
Na wewe vipi kuhusu Yale maisha yako ya kujipendekeza kutokana na njaa?
 
Na wewe
Ndugu zangu,

Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.

Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.

Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.

Muda utatujibu.
Na wewe vipi kuhusu Yale maisha yako ya kujipendekeza kutokana na njaa?
 
Sio kila habari in habari ya kweli.
Mfano nimesikia kuwa Naibu waziri kule habari na sanaa Juliana Shonza ameamua kuacha siasa ili aolewe tena baada ya kuachwa kwa vile anatuhumiwa akiwa Dodoma alikuwa na urafiki na mbunge wa Segerea na tabia zao hazieleweki.
Hii habari ni habari lakini sio lazima kuiandika maana facts ni ngumu kuziweka mezani
Mkuu Chakaza, please, watu wengine humu tuna roho ndogo, kuna watu tunawazimia na kuwazimikia, hivyo wakihusishwa na maroroso yoyote, sisi ndio tunaumia. Please sema huu ni uongo ili roho zetu zitulie, na hata kama ni kweli, then bora nidanganye sii kweli ili nilale kwa amani. Mfano angalia jinsi nilivyopigania haki ya mtu hapa, ni kwa sababu...
P.
 
Ndugu zangu,

Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.

Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.

Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.

Muda utatujibu.
Unapata wapi muda wa kuandika utumbo wa namna hii
 
Mkuu Chakaza, please, watu wengine humu tuna roho ndogo, kuna watu tunawazimia na kuwazimikia, hivyo wakihusishwa na maroroso yoyote, sisi ndio tunaumia. Please sema huu ni uongo ili roho zetu zitulie, na hata kama ni kweli, then bora nidanganye sii kweli ili nilale kwa amani. Mfano angalia jinsi nilivyopigania haki ya mtu hapa, ni kwa sababu...
P.
Basi Pasco, nimekuelewa! Ilikuwa ni kwa mfano tuu.
 
Ndugu zangu,

Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.

Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.

Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.

Muda utatujibu.
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Ndugu zangu,

Baada ya Nassari kutafuta kazi ya kufanya mapema kutokana upepo wa siasa kumuendea vibaya yeye na chadema kuelekea mwaka 2020 sasa Lissu naye anapitia njia hiyo hiyo kwani kuna taarifa za uhakika ameomba kazi katika baadhi ya NGO ni suala la muda tu.

Njaa haina baunsa ama hakuna mkate mgumu mbele ya chai watu wanakaa chini na kupiga hesabu na kuamua kipi chenye manufaa yao binafsi.

Mipango ya Tundu huenda ikaiva mwakani hivyo nayeye atabwaga mambo ya siasa huku wafuasi wake wakibaki midomo wazi wakikata tamaa.

Muda utatujibu.
Ww shonza ni tatizo! Tabia zote mbaya unazo, uliacha kusagana umeenda kubeba mimba za waume za watu, umerudi tena kusagana, kama haitoshi kidomo domo hicho kirefu unakileta CHADEMA, umefeli dada
 
Mkuu Chakaza, please, watu wengine humu tuna roho ndogo, kuna watu tunawazimia na kuwazimikia, hivyo wakihusishwa na maroroso yoyote, sisi ndio tunaumia. Please sema huu ni uongo ili roho zetu zitulie, na hata kama ni kweli, then bora nidanganye sii kweli ili nilale kwa amani. Mfano angalia jinsi nilivyopigania haki ya mtu hapa, ni kwa sababu...
P.
Paskali
Wazee wakujipendekeza kwa msukuma mwenzetu, tutaweka wapi sura zetu ?
 
Back
Top Bottom