kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Wa mwisho ndo mshindi. Wanchi waambiwe tuu na kuelimishwa tuu, ya kwamba ukombozi upo mwisho na akatiki ndani ya kisanduku tuu. Tiki yake isije tokea nje, ukitoka kura itakua imeharibika.
Oparesheni mbunguza kuharibika kwa kura ianze leo. Mifano itolewe ya kura halali.
Tumemuona Zungu akifundisha watoto mamna ya kumpigia kura halali Magufuli.
KWAHIO WAMWISHO NDO MSHINDI JAMENIII
Oparesheni mbunguza kuharibika kwa kura ianze leo. Mifano itolewe ya kura halali.
Tumemuona Zungu akifundisha watoto mamna ya kumpigia kura halali Magufuli.
KWAHIO WAMWISHO NDO MSHINDI JAMENIII