Sasa wanahangaika Nini kuwania ununge.......mtoto na mkeJamaa wana-enjoy sn keki ya taifa wamepiga na wataendelea kupiga maisha yao yote
Sasa wanahangaika Nini kuwania ununge.......mtoto na mkeJamaa wana-enjoy sn keki ya taifa wamepiga na wataendelea kupiga maisha yao yote
Naomba unurushie ilipotangazwa kufutiwa mashitaka, Niko gizaniHiyo si kipindi Lissu yupo bungeni!!? Kwnn iibuliwe sasa hivi baada ya kusikia Lissu kafutiwa mashitaka!!?
Katiba mpyaHivi tumefikaje hapa, kwamba an individual person kwa kuwa ana title ya urais basi yeye ni zaidi ya nchi nzima na watu wote waliomo ndani ya nchi na hivyo atafanya jambo lolote na hakuna atakayemuuliza, hili jambo limekaaje kwa nyie wataalamu wa maswala ya katiba na sheria.....
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema miradi ya kifisadi ya madini ya mgodi wa Buzwagi na Nzega ina saini ya Jakaya Kikwete kipindi hicho akiwa waziri wa Nishati na madini, kwa hiyo anatakiwa kushitakiwa kwa sababu wakati anasaini alikuwa waziri kwa hiyo hana kinga yoyote.
Lissu amefafanua kuwa Kikwete ana kinga kisheria kwa aliyoyasaini akiwa rais na siyo akiwa waziri wa nishati na madini.
My take:
Ya Kikwete ni mengi ndiyo maana hata mradi wa Bagamoyo una ukakasi mkubwa kwa sababu kwa mjibu wa waziri Mwambe Kikwete aliweka jiwe la msingi bila kusaini mkataba wowote
Jionee mwenyewe video hapa.
Hoja gani wee nyauJikite kwenye hoja
Hata chadema pia hawapendi kusemwa,yalitokea kwa chacha wangwe,pole sana kwa familia yakeCCM huwa hawapendi kusemwa, na mtu yeyote anayeisema CCM moja kwa moja anakuwa kajiingiza kwenye wanted list. Pole sana Lissu kwa yaliyokukuta ila Mungu kakusimamia unabii ukatimia - risasi 16 mwilini usife haiwezekani.
Lengo ni kulinda biashara zaoSasa wanahangaika Nini kuwania ununge.......mtoto na mke
Kiunoni mwa mazar akoAliyegawia nyumba za serikali mahawara wake akiwa Waziri yeye alipaswa kuwa wapi?
kaburi.Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema miradi ya kifisadi ya madini ya mgodi wa Buzwagi na Nzega ina saini ya Jakaya Kikwete kipindi hicho akiwa waziri wa Nishati na madini, kwa hiyo anatakiwa kushitakiwa kwa sababu wakati anasaini alikuwa waziri kwa hiyo hana kinga yoyote.
Lissu amefafanua kuwa Kikwete ana kinga kisheria kwa aliyoyasaini akiwa rais na siyo akiwa waziri wa nishati na madini.
My take:
Ya Kikwete ni mengi ndiyo maana hata mradi wa Bagamoyo una ukakasi mkubwa kwa sababu kwa mjibu wa waziri Mwambe Kikwete aliweka jiwe la msingi bila kusaini mkataba wowote
Jionee mwenyewe video hapa.
Yule na kikwete ,tabia ,na hulka hawatofautiani kabisaa,sema makamba ni mhuni zaidi,na mpigaji zaidiNdiyo kwanza Makamba ana mendea mendea
CCM huwa hawapendi kusemwa, na mtu yeyote anayeisema CCM moja kwa moja anakuwa kajiingiza kwenye wanted list. Pole sana Lissu kwa yaliyokukuta ila Mungu kakusimamia unabii ukatimia - risasi 16 mwilini usife haiwezekani.
so sad, kama taifa tumefika pabaya mno, haya mambo tuliyasikiaga kwa majirani miaka hiyo huko Somalia, Kenya, Burudi, Congo, Rwanda na Uganda sasa na sisi ni balaa - you challenge them politically - they fix you in any way they want.
Ndio maana mimi sikusikitika hata chembe kuondoka kwa yule mtu.so sad, kama taifa tumefika pabaya mno, haya mambo tuliyasikiaga kwa majirani miaka hiyo huko Somalia, Kenya, Burudi, Congo, Rwanda na Uganda sasa na sisi ni balaa - you challenge them politically - they fix you in any way they want.
Hii ni mbaya sana.
Mungu na akubarikiHapo ni baada ya kuliwa na Amsterdam
mungumtu Jiwe effect,Daaaa dadeq yule Belzebaab Ile siku alipotoa Ile kauli ya wasaliti wanastahili kuuwawa na mchana Naona breaking news ya tukio la hii kitu nilitamka laana Kali Kwa jiwe na nikaapa huyo jamaa atafia madarakani Kwa kifo kibaya Kwa hiyo roho mbaya yake na hatachukua muda,nilipoona miaka mitatu inakata na hafi niliumia Sana moyoni,na vile akajipitisha Kwa kishindo 2020 nikajua karma is fake
Same to me mkuu nadhani siku hiyo nilipata hasira dhidi mwendazake zijawahi ona.mungumtu Jiwe effect,Daaaa dadeq yule Belzebaab Ile siku alipotoa Ile kauli ya wasaliti wanastahili kuuwawa na mchana Naona breaking news ya tukio la hii kitu nilitamka laana Kali Kwa jiwe na nikaapa huyo jamaa atafia madarakani Kwa kifo kibaya Kwa hiyo roho mbaya yake na hatachukua muda,nilipoona miaka mitatu inakata na hafi niliumia Sana moyoni,na vile akajipitisha Kwa kishindo 2020 nikajua karma is fake
Daaa Ile siku nimepata taarifa jamaa no more maana taarifa nilizisikia siku tatu nyuma huko kutoka Kwa wapenyeshaji special nilipata amani Sana nikawa nawachora tu kina katelephone wanavyosema yupo anachapa KAZI teh!teh!teh!
Hii nchi Ina viongozi vituko Sana Aiseee!
Sikuwahi kua na furaha kuu kama sikukuu ya kutwaliwa jiwe maana nilijihisi ndio napaa Mbinguni japo Sina mabawa!.
😁😁😁😁
Mambo ya Nyerere hayo.Hivi tumefikaje hapa, kwamba an individual person kwa kuwa ana title ya urais basi yeye ni zaidi ya nchi nzima na watu wote waliomo ndani ya nchi na hivyo atafanya jambo lolote na hakuna atakayemuuliza, hili jambo limekaaje kwa nyie wataalamu wa maswala ya katiba na sheria.....