The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,183
- 13,608
Yanakera sanaha
hhaha kumbe ndio yeye anakuja na ID mpya mara hii mara ile ila themes zake ni zile zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanakera sanaha
hhaha kumbe ndio yeye anakuja na ID mpya mara hii mara ile ila themes zake ni zile zile
Ni kweli mimi nilimlaanai Tar 29 oktoba baasa ya kushuhudia Unyama wakati wa uchaguzi. Kuna Kada mmoja Rafiki yangu sana wa CCM nilimwambia Jiwe hata maliza Miezi sita madarakani atakufa. Jamaa alipinga nikamfafanulia kwa nini nasa hivyo kama mtumishi wa Mungu. Siku alipoumwa na kutoonekana kwa muda kadhaa nikampigia simu Kada yule nikampa alert. Akawa haamini hadi pale Tar 17 Mama anatangaza msiba.mungumtu Jiwe effect,Daaaa dadeq yule Belzebaab Ile siku alipotoa Ile kauli ya wasaliti wanastahili kuuwawa na mchana Naona breaking news ya tukio la hii kitu nilitamka laana Kali Kwa jiwe na nikaapa huyo jamaa atafia madarakani Kwa kifo kibaya Kwa hiyo roho mbaya yake na hatachukua muda,nilipoona miaka mitatu inakata na hafi niliumia Sana moyoni,na vile akajipitisha Kwa kishindo 2020 nikajua karma is fake
Daaa Ile siku nimepata taarifa jamaa no more maana taarifa nilizisikia siku tatu nyuma huko kutoka Kwa wapenyeshaji special nilipata amani Sana nikawa nawachora tu kina katelephone wanavyosema yupo anachapa KAZI teh!teh!teh!
Hii nchi Ina viongozi vituko Sana Aiseee!
Sikuwahi kua na furaha kuu kama sikukuu ya kutwaliwa jiwe maana nilijihisi ndio napaa Mbinguni japo Sina mabawa!.
😁😁😁😁
jiwe alikua na balaa sana yule kiumbe nakumbuka mjomba wangu mmoja ni mwalimu mkuu wa shule Moja hapa jijini daslam alipata kushuhudia kufuru kuu Kwenye uchafuzi wa 2020 siku zile nilikua zangu nimetoka msasani kupiga kura kama mkereketwa wa upinzani Ile nimerudi nipo na binamu yangu tumepozi kusikilizia jioni,tukaona ankori karudi kafura Kwa hasira kuu mno tukaanza Kwa kumtania Vipi umeuza kura Kwa jiwe?Ni kweli mimi nilimlaanai Tar 29 oktoba baasa ya kushuhudia Unyama wakati wa uchaguzi. Kuna Kada mmoja Rafiki yangu sana wa CCM nilimwambia Jiwe hata maliza Miezi sita madarakani atakufa. Jamaa alipinga nikamfafanulia kwa nini nasa hivyo kama mtumishi wa Mungu. Siku alipoumwa na kutoonekana kwa muda kadhaa nikampigia simu Kada yule nikampa alert. Akawa haamini hadi pale Tar 17 Mama anatangaza msiba.
Alilaanika.
Nyerere huyu muuajiHayo nenda kwenu Burundi ndio utaona lakini kwenye ardhi hii ya Mkwawa, Mirambo, Isike na Nyerere, never ever.
Ankori wako Anajielewa sana. Tar 29 baada ya kutoka Dar nimeenda visiwani mambo niliyokuta hayaelezeki. Ilikuwa kama Bagidadi.jiwe alikua na balaa sana yule kiumbe nakumbuka mjomba wangu mmoja ni mwalimu mkuu wa shule Moja hapa jijini daslam alipata kushuhudia kufuru kuu Kwenye uchafuzi wa 2020 siku zile nilikua zangu nimetoka msasani kupiga kura kama mkereketwa wa upinzani Ile nimerudi nipo na binamu yangu tumepozi kusikilizia jioni,tukaona ankori karudi kafura Kwa hasira kuu mno tukaanza Kwa kumtania Vipi umeuza kura Kwa jiwe?
Akasonya akapita Ndani kulala akaja amka saa 2 hivi akatuambia kwa hasira na uchungu Huku machozi yanamlenga lenga jiwe amelaaniwa Duniani mpaka kuzimu na atakua Kuni motoni
Hahahaha tukauliza Nini akasema kama mungu yupo basi atalipa Kwa ushetani aliofanya akaanza kutupa mkanda wa mabox fake ya kura mpka akasema hakuna mbunge wa upinzani atapita nchi nzima huyu mwehu na chizi kafanya kufuru ambayo inaenda kumtafuna na kufa Atakufa na ule uharibifu alioufanya hautamfaidisha chochote zaidi ya kifo kumuandama daaa mjomba licha ya kua mwalimu ni pastor vile vile
Tulishtuka sana Aisee
Yote aliyoyasema yalitimia na yule mjaa laana akafa kweli na siku jamaa anavuta akanitumia sms jiwe linaenda kupasuka soon nikiwa mkoani Tena ule mkoa ambao waziri katelephone alituambia mweshimiwa mzima na anachapa KAZI ndio mapema nagongewa phone kutoka pembezoni mwa jengo la mwewe jiwe is no more!
Nilijua kaongea Leo , kumbe toka mwaka 2017 basi sawaMakamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema miradi ya kifisadi ya madini ya mgodi wa Buzwagi na Nzega ina saini ya Jakaya Kikwete kipindi hicho akiwa waziri wa Nishati na madini, kwa hiyo anatakiwa kushitakiwa kwa sababu wakati anasaini alikuwa waziri kwa hiyo hana kinga yoyote.
Lissu amefafanua kuwa Kikwete ana kinga kisheria kwa aliyoyasaini akiwa rais na siyo akiwa waziri wa nishati na madini.
My take:
Ya Kikwete ni mengi ndiyo maana hata mradi wa Bagamoyo una ukakasi mkubwa kwa sababu kwa mjibu wa waziri Mwambe Kikwete aliweka jiwe la msingi bila kusaini mkataba wowote
Jionee mwenyewe video hapa.
Kikwete anatakiwa kuwa lupango muda huu ananyea debe.
Hakuna mtu mbaya kama msaliti they deserve to be eliminated in any aspect....nakumbuka enzi zetu chuo kikuu Mzee Punch alipenda sana kuitumia hiyo statement wakati tunapigania haki za wanafunzi huku serikali ikiweka mapandikizi wanafunzi kufanya usaliti.mungumtu Jiwe effect,Daaaa dadeq yule Belzebaab Ile siku alipotoa Ile kauli ya wasaliti wanastahili kuuwawa na mchana Naona breaking news ya tukio la hii kitu nilitamka laana Kali Kwa jiwe na nikaapa huyo jamaa atafia madarakani Kwa kifo kibaya Kwa hiyo roho mbaya yake na hatachukua muda,nilipoona miaka mitatu inakata na hafi niliumia Sana moyoni,na vile akajipitisha Kwa kishindo 2020 nikajua karma is fake
Daaa Ile siku nimepata taarifa jamaa no more maana taarifa nilizisikia siku tatu nyuma huko kutoka Kwa wapenyeshaji special nilipata amani Sana nikawa nawachora tu kina katelephone wanavyosema yupo anachapa KAZI teh!teh!teh!
Hii nchi Ina viongozi vituko Sana Aiseee!
Sikuwahi kua na furaha kuu kama sikukuu ya kutwaliwa jiwe maana nilijihisi ndio napaa Mbinguni japo Sina mabawa!.
Miaka 60 ya uhuru chadema hawana hata ofisi
chadema imekuwepo kuanzia mwaka 1961?.Miaka 60 ya uhuru chadema hawana hata ofisi
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema miradi ya kifisadi ya madini ya mgodi wa Buzwagi na Nzega ina saini ya Jakaya Kikwete kipindi hicho akiwa waziri wa Nishati na madini, kwa hiyo anatakiwa kushitakiwa kwa sababu wakati anasaini alikuwa waziri kwa hiyo hana kinga yoyote.
Lissu amefafanua kuwa Kikwete ana kinga kisheria kwa aliyoyasaini akiwa rais na siyo akiwa waziri wa nishati na madini.
My take:
Ya Kikwete ni mengi ndiyo maana hata mradi wa Bagamoyo una ukakasi mkubwa kwa sababu kwa mjibu wa waziri Mwambe Kikwete aliweka jiwe la msingi bila kusaini mkataba wowote
Jionee mwenyewe video hapa.
dogo kama Mimi ni shoga basi babaako ndie Basha langu anaenipa burudani hata yeye akimaliza kwangu hua namgeuza na yeye Hivyo hata Wewe ni zao la choko a.k.a MendesKwa hiyo ulitegemea huyo mtetea ushoga awe rais wa Tanzania?
Labda rais wa mashoga kama wewe