Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema baada ya Rais kuunda kikosi kazi cha kuratibu maridhiano na tumehuru ya uchaguzi, sasa ni wazi Kiongozi wa ACT Wazalendo yuko upande gani.
Amesema zamani walidhani ni mchakato utakaoongozwa na TCD lkn baada ya kuambiwa utakuwa unaripoti kwa rais basi Chadema haina imani na kikosi hicho.
Lissu anasema, akipokea ripoti ya kikosi kazi hicho rais alisema wameshaituliza Zanzibar (through ACT Wazalendo) sasa wanataka waitulize na bara through kikosi kazi, Hawataweza.
Msikilize.
Amesema zamani walidhani ni mchakato utakaoongozwa na TCD lkn baada ya kuambiwa utakuwa unaripoti kwa rais basi Chadema haina imani na kikosi hicho.
Lissu anasema, akipokea ripoti ya kikosi kazi hicho rais alisema wameshaituliza Zanzibar (through ACT Wazalendo) sasa wanataka waitulize na bara through kikosi kazi, Hawataweza.
Msikilize.