UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,509
- 7,704
Tena alegeeee kabisaAshindweeeee
Tena alegeeee kabisaAshindweeeee
Tena alegeeee kabisa
Sasa nchi ina miaka 60 unaahidi barabara? Hilo n swala la kitekeleza tu.Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.