Ben Bella
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 529
- 1,856
Vijana was CCM wanatia huruma sana.
Wenyewe walijua kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi sana kwa Mwenyekiti wao, kumbe imekuwa kinyume chake.
Meko alijua kwamba hata kipindi cha kampeni atatamba peke yake majukwaani kama ilivyokuwa katika nyakati alizozuia mikutano ya hadhara ya wanasiasa.
Sasa amekumbana na muziki wa Lissu ambaye watanzania wanamwita ni mzalendo namba moja.
Wenyewe walijua kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi sana kwa Mwenyekiti wao, kumbe imekuwa kinyume chake.
Meko alijua kwamba hata kipindi cha kampeni atatamba peke yake majukwaani kama ilivyokuwa katika nyakati alizozuia mikutano ya hadhara ya wanasiasa.
Sasa amekumbana na muziki wa Lissu ambaye watanzania wanamwita ni mzalendo namba moja.