Uchaguzi 2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,374
72,891
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
 
Kwamba press inahitaji shingapi ambazo Lissu hawezi kuwa nazo

Yaani kuwaambia waandishi wa habari njooni natangaza Nia ya kugombea nayo Lissu anahitaji pesa kutoka kwa msigwa?

Harusi yangu tu Mimi nilifanya mlimani city Mimi Nina pesa kuliko Lissu?

Yaani ukumbi wa million 10 unategemea Lissu akose milioni 10 ?

Pumbavu Sana watumwa wa mbowe nyie ndio kumbe mnakwamisha maendeleo ya hii nchi

CCM washawajua wanawachezea tu watakavyo
 
Kwamba press inahitaji shingapi ambazo Lissu hawezi kuwa nazo

Yaani kuwaambia waandishi wa habari njooni natangaza Nia ya kugombea nayo Lissu anahitaji pesa kutoka kwa msigwa?

Harusi yangu tu Mimi nilifanya mlimani city Mimi Nina pesa kuliko Lissu?

Yaani ukumbi wa million 10 unategemea Lissu akose milioni 10 ?

Pumbavu machawa wa mbowe nyie ni watumwa ujinga na umasikini

CCM washawajua wanawachezea tu watakavyo
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
 
Kwamba press inahitaji shingapi ambazo Lissu hawezi kuwa nazo

Yaani kuwaambia waandishi wa habari njooni natangaza Nia ya kugombea nayo Lissu anahitaji pesa kutoka kwa msigwa?

Harusi yangu tu Mimi nilifanya mlimani city Mimi Nina pesa kuliko Lissu?

Yaani ukumbi wa million 10 unategemea Lissu akose milioni 10 ?

Pumbavu Sana watumwa wa mbowe nyie ndio kumbe mnakwamisha maendeleo ya hii nchi

CCM washawajua wanawachezea tu watakavyo
Wewe ni mjinga kumbe? Unawezaje kuniita mpumbavu au chawa wa Mbowe?
Kwa taarifa yako mtu mjinga ni kuwa mimi ni mtu ninaye Unga mkono mabadiliko ndani ya uongozi kidemokrasia hasa wakati huu.
Na sababu ya kumtaka ajibu uzushi huo ni kuwa sitaki Lissu wampoteze kwa sababu ya kufikiriwa kuwa ana uhusiano na Msigwa aliyekitukana Chama na akanyimwa kura pasipo ukweli wowote!
Sasa uchawa kwa Mbowe uko wapi hapo? Na pia Mbowe simpingi kwani kwa sasa ni mwenyekiti aliyechaguliwa na wana chadema hadi uchaguzi mwingine
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Jee ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Acha kukurupuka tuligharamia Press wengi ni sisi Diaspora chini ya Liberatus

ACHENI kuokoteza maneno na hili liliwekwa wazi mitandaoni
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Jee ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!

Hata kama! Kwani Msigwa sio mtanzania? Acheni vioja vijana toeni hoja angalau tuonekane watanzania tuna hata nusu ti ya akili! Mnatufanya taifa zima tuonekane idiots sio embeciles tena, mnatushusha sana uvccm! Tunaona aibu kujiita watanzania huko nie kwa hiki kizazi dah🤮🤮🤮😭
 
Acha hizo

Mchungaji Msigwa ana madeni kibao ambayo analipiwa kidogo kidogo na ASAS Misasa

Kwa Sababu unaishi machame basi unadhani ukumbi wa Mlimani City ni wa gharama sana

Hapo tunafanyiaga sherehe za komunio ya kwanza 😀😀
Swala sio kushindwa gharama wewe! Issue hapa jee alijihusisha na maandalizi ya press hiyo?
We kila azungumziaye mambo ya Chadema yuko Machame sio? Grow up brother! Na nina hakika kwa uzito wa mada hii Lissu ni muelewa atajibu hadharani hoja hii maana yaweza kuwa imechomekwa pia na wanaccm ili kumvurugia na kuvuruga uchaguzi. Mtu yeyote neutral hakika atabadili mawazo yake kwa Lissu akisikia amejihusisha na Msigwa katika safari yake ya kutaka uenyekiti.
 
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
This is what we call a cheap politics, mkuu ujue wewe ni mjinga
 
Wewe ni mjinga kumbe? Unawezaje kuniita mpumbavu au chawa wa Mbowe?
Kwa taarifa yako mtu mjinga ni kuwa mimi ni mtu ninaye Unga mkono mabadiliko ndani ya uongozi kidemokrasia hasa wakati huu.
Na sababu ya kumtaka ajibu uzushi huo ni kuwa sitaki Lissu wampoteze kwa sababu ya kufikiriwa kuwa ana uhusiano na Msigwa aliyekitukana Chama na akanyimwa kura pasipo ukweli wowote!
Sasa uchawa kwa Mbowe uko wapi hapo? Na pia Mbowe simpingi kwani kwa sasa ni mwenyekiti aliyechaguliwa na wana chadema hadi uchaguzi mwingine
Urafiki wa lisu na msigwa ni urafiki wa damu kamwe haitatokea utenganishwe na chadema na ccm
 
Acha kukurupuka tuligharamia Press wengi ni sisi Diaspora chini ya Liberatus

ACHENI kuokoteza maneno na hili liliwekwa wazi mitandaoni
Sasa haya ndio majibu yaliyo paswa yajibiwe kutokana na hizo tuhuma zinazoletwa mitandaoni sio kunishambulia mimi niliye shauri majibu yatolewe.
Mnadhani kwenye uchaguzi mpiga kura kutoka kule Katavi au Nanjilinji asiye ujua ukweli akiambiwa Msigwa yule aliyetukana chama alimsaidia Lissu harakati zake atampa kura Lissu?
Watu wanavamia hoja kwa jazba bila tafakari
 
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
Hili sio jambo kubwa mkuu, bali ni uzushi mkubwa. Yaani Msigwa angekuwa na hela ya kumpa Lisu aitishe press conference angebebeshwa mabango ya Samia kama bwege? Msigwa ana nogwa na Mbowe, akiona jambo lolote linalomkwaza Mbowe anadandia ili kujipunguzia stress. Cha muhimu ifahamike muda wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm umekwisha, ni suala la kukubaliana na hitaji la wakati.
 
Swala sio kushindwa gharama wewe! Issue hapa jee alijihusisha na maandalizi ya press hiyo?
We kila azungumziaye mambo ya Chadema yuko Machame sio? Grow up brother! Na nina hakika kwa uzito wa mada hii Lissu ni muelewa atajibu hadharani hoja hii maana yaweza kuwa imechomekwa pia na wanaccm ili kumvurugia na kuvuruga uchaguzi. Mtu yeyote neutral hakika atabadili mawazo yake kwa Lissu akisikia amejihusisha na Msigwa katika safari yake ya kutaka uenyekiti.
Nafikiri CCM ndio wamuulize Msigwa kwa nini kajihusisha na hayo maandalizi, kama kweli. Wajuaje labda Msigwa ni pandikizi la Chadema CCM au anataka kurudi CHADEMA? Sioni sababu ya yeye kujibu kwa kweli.
 
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
Umeshaweka hitimisho kuwa amelipiwa kwa bahati mbaya au umekusudia kutuambia amelipiwa?
 
Back
Top Bottom