Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Kwenye msiba huu nakumbuka hata Magufuli alikuwepo. Kesho nae atulie watu waseme watoe nyongo.
May be wajumbe wamemtendaBen leo umekuwa kiumbe kipya...
Jr
Ameshukiwa na Roho MtakatifuBen leo umekuwa kiumbe kipya...
Jr
HaaminikiUnatangatanga
hahahaaa ni roho mtaka vituAmeshukiwa na Roho Mtakatifu
Ben leo umekuwa kiumbe kipya...
Jr
Wajumbe wamemfanyia kitu mbayaChief, wajumbe wamekufanyeje Tena?
Wajumbe mama, wajumbe mama, watu wabadiWajumbe wamemfanyia kitu mbaya
Aaaah wajumbe... wajumbe hawa wa "...tuko pamoja we mwenzetu kabisa huku wamekukenulia " mwisho wa siku unaambulia yai tupu!!May be wajumbe wamemtenda
Ccm wengi hawakutegemea kama kweli Lissu atarudi, walijua ataogopa na kuendelea kuishi kama Mkimbizi. Mnakumbuka uzushi wao humu akina Magonjwa Mtambuka, Stroke, Jingalao, Kawe Alumni, YEHODAYA & CO. Mwana CCM pekee ambaye sijawahi kusikia akikashfu ubinadamu wa Lissu ni Johnthenaptist peke yake na ndo maana huwa namuona kama mtu mwenye uelewa wa mambo mtambuka kuliko hao ndugu zake hapo juu. Mwingine anayejitoa ufahamu na kufyatuka Mara moja moja lakini anajitambua ni Cocochannel. Waliobaki akiwemo huyu Verified User Benson Mramba hana tofauti na mkimbizi mwenzie Wakudadavua.Ben leo umekuwa kiumbe kipya...
Jr
Umesema kweli tupu..Ccm wengi hawakutegemea kama kweli Lissu atarudi, walijua ataogopa na kuendelea kuishi kama Mkimbizi. Mnakumbuka uzushi wao humu akina Magonjwa Mtambuka, Stroke, Jingalao, Kawe Alumni, YEHODAYA & CO. Mwana CCM pekee ambaye sijawahi kusikia akikashfu ubinadamu wa Lissu ni Johnthenaptist peke yake na ndo maana huwa namuona kama mtu mwenye uelewa wa mambo mtambuka kuliko hao ndugu zake hapo juu. Mwingine anayejitoa ufahamu na kufyatuka Mara moja moja lakini anajitambua ni Cocochannel. Waliobaki akiwemo huyu Verified User Benson Mramba hana tofauti na mkimbizi mwenzie Wakudadavua.
Watu makini humu JF wanamjua vizuri Benson, haya anayoongea ni "duster" kusahaulisha watu maneno mabovu aliyowahi kuongea humu, kama una uwezo naomba utafute threads zake hata 2 uzimwage hapa.Umesema kweli tupu..
HAWAKUTEGEMEA akiwemo huyu mleta uzi ndio maana sasa ivi anajifanya kutoa-toa ushauri positive kwa Chadema na Lissu..MNAFIKI.
Kura hazikutoshaBen leo umekuwa kiumbe kipya...
Jr