Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kwa miaka mitano watanzania wamekuwa wakiumia moyoni,hawana pa kusema shida zao.
Miaka mitano mzunguko wa fedha umesinyaa,hakuna aliyediriki kusema,umekuja wewe umeongea mengi,ya kuwasaidia watanzania.
Miaka mitano wafanyakazi hawajaongezwa mishahara,lakini walikuwa hawana wa kuwasemea,wewe umeongea
Umegusia suala la ajira, tayari ajira za kuwadanganya watanzania zimetangazwa, nafasi 13000 za walimu. Je, Sekta zingine?
Umesema mengi,kubwa kabisa ni kufa kwa sekta binafsi,maana kandarasi nyingi zinafanya na serikali na wachina,watu wengi kampuni zao zimekufa na ajira nyingi zimekufa.
Hata kama hautashinda urais Mungu atakulipa kwa kuwasemea watanzania shida zao.
Miaka mitano mzunguko wa fedha umesinyaa,hakuna aliyediriki kusema,umekuja wewe umeongea mengi,ya kuwasaidia watanzania.
Miaka mitano wafanyakazi hawajaongezwa mishahara,lakini walikuwa hawana wa kuwasemea,wewe umeongea
Umegusia suala la ajira, tayari ajira za kuwadanganya watanzania zimetangazwa, nafasi 13000 za walimu. Je, Sekta zingine?
Umesema mengi,kubwa kabisa ni kufa kwa sekta binafsi,maana kandarasi nyingi zinafanya na serikali na wachina,watu wengi kampuni zao zimekufa na ajira nyingi zimekufa.
Hata kama hautashinda urais Mungu atakulipa kwa kuwasemea watanzania shida zao.