Lissu, Ikungi kuwa na shule nne zenye maabara ni aibu. Mfuko wa jimbo una kazi gani!?

ChamaDola

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
3,432
2,804
Najua sio wajibu wako kisheria kujenga shule!
Najua wajibu wako ni kuibana Serikali kujenga shule kupitia kodi zetu!

Ikishindikana basi Mfuko wa Jimbo hutumika!
Na ikishindikana kabisa basi uhamasishaji hutumika!

Ni lini umewahamasisha wana Ikungi kupambana na maadui wanne wanaolikwamisha taifa letu!?

Mhe Lissu ile nguvu ya kutetea watanzania Mahakamani i wapi kule Ikungi...!?

Ile nguvu ya kuibana Serikali bungeni na mahakamani i wapi kule Ikungi!?
 
Najua sio wajibu wako kisheria kujenga shule!
Najua wajibu wako ni kuibana Serikali kujenga shule kupitia kodi zetu!
Ikishindikana basi Mfuko wa Jimbo hutumika!
Na ikishindikana kabisa basi uhamasishaji hutumika!
Ni lini umewahamasisha wana Ikungi kupambana na maadui wanne wanaolikwamisha Taifa letu!?
Mhe Lissi ile nguvu ya kutetea watanzania Mahakamani i wapi kule Ikungi...!?
Ile nguvu ya kuibana Serikali Bungeni na Mahakamani i wapi kule Ikungi!?
Wewe ulisema ni katibu wa mbunge wa Meatu, Meatu ni kati ya majimbo maskini sn nchini na duniani, kwa nini usiwasemee wananchi wa Meatu ambapo wewe unaishi? shame on you
 
pepsin Kingu amepeleka vitanda jimboni kwa Lissu...japo siyo wajibu wake!
Lissu amehamasisha nini!?
 
ChamaDola,

..yaani badala ya kuibana SERIKALI imeamua kumuandama mbunge TL?

..mimi nahisi wananchi hawa WANAADHIBIWA kwasababu ya kumchagua TL.

..zaidi, kwanini mnanunua bambadia kwa kodi za wananchi, huku kuna majimbo kama Ikungi ambayo shule hazina maabara?
 
Najua sio wajibu wako kisheria kujenga shule!
Najua wajibu wako ni kuibana Serikali kujenga shule kupitia kodi zetu!
Ikishindikana basi Mfuko wa Jimbo hutumika!
Na ikishindikana kabisa basi uhamasishaji hutumika!
Ni lini umewahamasisha wana Ikungi kupambana na maadui wanne wanaolikwamisha Taifa letu!?
Mhe Lissi ile nguvu ya kutetea watanzania Mahakamani i wapi kule Ikungi...!?
Ile nguvu ya kuibana Serikali Bungeni na Mahakamani i wapi kule Ikungi!?
Sawa, lkn gharama za kumkamata Lisu na kuendesha kesi dhidi yake. Nadhani zingetosha kujenga maabara jimbo zima.
 
Pesa ya mbunge ya jimbo, hii huenda moja kwa moja kwenye HALMASHAURI na itapangiwa majukumu na madiwani.

Kazi ya mbunge ni kufuatilia pesa iliyoombwa na diwani x kushughulikia tatizo x kutoka ktk mfuko wa mbunge imefanya kazi ktk kiwango sahihi.
 
lufungulo k yakishindikana hayo yote basi ahamasishe wananchi wajaribu kushiriki kujiletea maendeleo!
Mbona watu wa Kilimanjaro wameweza kijiletea msendeleo!
 
ChamaDola,


..zaidi, kwanini mnanunua bambadia kwa kodi za wananchi, huku kuna majimbo kama Ikungi ambayo shule hazina maabara?

Hilo swali hata pogba hawez kulijibu...
Disorganized thoughts ni dalili ya ugonjwa wa akili unaojidhihirisha kwa mtu kushindwa kufanya mambo kwa kufuata vipaumbele "cha kwanza hufanya cha pili... Cha pili hufanya mwisho... Cha mwisho hufanya mwanza"
Ndivyo anavyofanya pogba
 
JokaKuu wananchi hawajui kuwa maendeleo hukuyaleta eti kwa sababu ya bombandia...!
Watanzania masikini na wajinga,hawayajui hayo...inabidi kijiongeza!
 
Najua sio wajibu wako kisheria kujenga shule!
Najua wajibu wako ni kuibana Serikali kujenga shule kupitia kodi zetu!
Ikishindikana basi Mfuko wa Jimbo hutumika!
Na ikishindikana kabisa basi uhamasishaji hutumika!
Ni lini umewahamasisha wana Ikungi kupambana na maadui wanne wanaolikwamisha Taifa letu!?
Mhe Lissi ile nguvu ya kutetea watanzania Mahakamani i wapi kule Ikungi...!?
Ile nguvu ya kuibana Serikali Bungeni na Mahakamani i wapi kule Ikungi!?
Maccm ya ajabu kweli,haoni aibu yameshindwa kuajiri walimu ,watoto wanafeli halafu yanamshutumu lisu ,aibu kushindwa kuajiri walimu,nomaaaaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi jamani watanzania kwani kazi ya wabunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali iliyopo madarakani au ni kuweka miundo mbinu?Tunatakiwa kubadilisha huu mtizamo maana naona hata kwenye kampeni wabunge wanaomba kura kwa kuahidi kufanya kitu fulani kama kujenga barabara, mashule na miundo mingine ya taifa kwa jambo hili halitatufikisha kwenye nchi yenye maendeleo ambayo tunatakiwa kuwa nayo jinsi tunavyoongezeka.Ni nini kinapaswa kufanyika kwa Tanzania?
1.Kuwa na dira ya maendeleo ya Taifa hata kama itakuwa kwa miaka kumi au 12 au mpaka 25
2.Vyama vyote kila kimoja kuweelezea wananchi jinsi gani wataweza kuifanikisha hiyo dira ya taifa ya maendeleo
3.Ikishakuwepo hiyo dira hamna kubadili kwa matamshi ya upande mmoja ,hapa lazima katiba ya jamhuri iweze kulisimamia kuwa dira ya mwaka huu au mpaka miaka mitano ni hii ,na hamna kubadili mpaka pale inavyoonekana utekelezaji wake

Kutokana na hayo machache wananchi wote wanaelewa nchi ipo wapi kwa muda gani na inaelekea wapi kufika kipindi gani na vyote hivyo havina haja ya viongozi walioshika tama kuanza kuelezea mawazo yao tofauti na dira hiyo inayotakiwa

Sasa nini kifanyike kuwezesha hilo?
Msaada unahitajika kumshauri kiongozi wetu mkuu kuhusu kuwa na mpango huo kwa manufaa ya nchi maana kusema ukweli ndiyo upenzi kwa mola

Inawezekana dira au ilani ya vyama ndiyo tunayoifuata lakini bado hata chama kinachoshinda ilani yake haiwezi kuwa ndiyo dira ya Taifa mfano hatukuwa na ununuzi wa Ndege wala ujenzi wa SG reli au nchi ya viwanda lakini serikali imeamua hilo kutokana na kuwa ndiyo chama kilichoshinda sasa tatizo linakuwa wapi, ni pale likishindikana kufanikiwa tunaanza kulaumu maana siyo agenda ya serikali

so kubwa hapa ili yote yawezekane ni kuwa na katiba mpya ambayo inaweza kuendana na haya mabadiliko ya kidunia na ongezeko la watu maana taarifa zinaendelea kusema kuwa tunakaribia kufika milioni 50


Naomba tuendelee kuliangalia zaidi hili kwa manufaa ya taifa na siyo mambo ya vyama
 
Back
Top Bottom