MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Amshauri?? Amshauri nani? Huyo aliekwenda mwenyewe kuchukua fomu za Urais? ..umeshawahi kumpigia mbuzi gitaa wewe?unafiki na kujitafutia mtaji kwa wananchi kama unaipenda nchi yetu si ungemuandikia waraka kwake ukamshauri wewe ni kumponda hauna lengo la kuikuza nchi kiuchumi. wewe huo mfano wa bolivia ungemwambia. ila kila kukicha ni kumkosoa na sio kushauri, mpe way forward