Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,389
wewe ukituliza ubongounaweza hata mshauli rais.
ila kwa domo lako bovu lisilo na staha ,hata mimi diwezi kukusikiliza hata uje na point.
we msomi uchwars ebu toa udhauri kwa staha.
we unafikiri kuongea ovyo ndio kiki?
Ndiyo maana hata darasani kuna wanaopata ZERO si sababu hawajui sababu wanafikiria kama wewe,anamchukia Mwalimu na somo pia matokeo yake anazungusha