Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Philipo Mwakibinga ukafanye mdahalo na Lissu? Kwa tunaokufahamu cheo kikubwa ulichowahi kupata ni kuwa Waziri mkuu wa College pale UDOM, ukiwa unasoma ualimu wa kiswahili, uliwagomesha wanafunzi wa Special diploma JPM akaamuru wanafunzi wale watimuliwe na wewe ukatimuliwa chuo. 2015 Ukaenda kugombea ubunge chunya ukapigwa chini na Wajumbe kwenye kura za maoni za CHADEMA ukawa wa tatu. Kwa tamaa ukakimbilia ACT ukagombea udiwani ukaangukia pua. Umekimbilia CCM huko nako kazi yako ni kusifu kama utateuliwa lakini hola.
Ushauri wangu JPM anapenda sana kuteua wasomi rudi chuo hata DUCE ukamalizie kidigrii chako cha kiswahili at least nasema at least anaweza akakuona
Ushauri wangu JPM anapenda sana kuteua wasomi rudi chuo hata DUCE ukamalizie kidigrii chako cha kiswahili at least nasema at least anaweza akakuona