Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 729
- 2,153
Yani lissu aje afanye mdahalo na ww form 4 leaver uliyefukuzwa Udom?
Kuwa serious kijana, ni vyema muda huu ukatumia ni kwa jinsi gani utaweza kuanza mchakato wa kwenda angalau duce uanze upya kadigrii kako ka ualimu wa kiswahili kaliko kushinda pale udom.
Kuwa serious kijana, ni vyema muda huu ukatumia ni kwa jinsi gani utaweza kuanza mchakato wa kwenda angalau duce uanze upya kadigrii kako ka ualimu wa kiswahili kaliko kushinda pale udom.