Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 111
- 175
Baadhi ya maneno aliyoyazungumza Mwakibinga
Kama Tundu Lissu anataka mdahalo aje afanye mdahalo na mimi (Mwakibinga). Lissu anataka mdahalo na Magufuli ili kukaa karibu na uwaridi aweze kunukia
Baadhi ya maneno aliyoyazungumza Mwakibinga
Kama Tundu Lissu anataka mdahalo aje afanya mdahalo na mimi (Mwakibinga). Lissu anataka mdahalo na Magufuli ili kukaa karibu na uwaridi aweze kunukia
Yani kwa mawazo mgando unategemea atawale nchi hii. Hana uzalendo huyu hafai kabisaCCM hawana jipya Mwakabinga huna hoja kabisa huwezi kusema Lissu hajajiandaa, unafikiri inachukua muda gani kujiandaa. Hakuna force yoyote kwa Lissu, huna hoja kabisa na Lissu anashinda asubuhi October.
hebu fanyenni hima Lissu akutanishwe na huyo Pombe kwenye mdahalo tuone jinsi mataga mtakavyojiharishia dengu.Lisu ni dhaifu sana wa hoja,
Kazidiwa na uchapa kazii wa Magufuli hana cha kuzungumza kabakia kulia lia tu majukwaani
Ohh mara risasi mara sumu mara kikapanda maa kikashuka alimradi hana hoja ya kuegamia amebakia kituko tu huko majukwaani.
CCM inapumulia mashine ICU ...Kama kweli Rais Magufuli Shujaa,Ajitokeze kwenye madhalo na Lissu...Lissu atamtoa kamasi mbele ya Camera za TBC.Lisu ni dhaifu sana wa hoja,
Kazidiwa na uchapa kazii wa Magufuli hana cha kuzungumza kabakia kulia lia tu majukwaani
Ohh mara risasi mara sumu mara kikapanda maa kikashuka alimradi hana hoja ya kuegamia amebakia kituko tu huko majukwaani.
Ushabiki unapunguza uwezo wa kufikiriLisu ni dhaifu sana wa hoja,
Kazidiwa na uchapa kazii wa Magufuli hana cha kuzungumza kabakia kulia lia tu majukwaani
Ohh mara risasi mara sumu mara kikapanda maa kikashuka alimradi hana hoja ya kuegamia amebakia kituko tu huko majukwaani.
Mwakibinga yule aliyekuwa anashawishi wanafunzi wenzake kule udom wagome au sio huyo?
Baadhi ya maneno aliyoyazungumza Mwakibinga
Kama Tundu Lissu anataka mdahalo aje afanya mdahalo na mimi (Mwakibinga). Lissu anataka mdahalo na Magufuli ili kukaa karibu na uwaridi aweze kunukia
Baadhi ya maneno aliyoyazungumza Mwakibinga
Kama Tundu Lissu anataka mdahalo aje afanya mdahalo na mimi (Mwakibinga). Lissu anataka mdahalo na Magufuli ili kukaa karibu na uwaridi aweze kunukia
Wakutane tujiamulie wenyewe vinginevyo tutajua nani anamhara nani.Lisu ni dhaifu sana wa hoja,
Kazidiwa na uchapa kazii wa Magufuli hana cha kuzungumza kabakia kulia lia tu majukwaani
Ohh mara risasi mara sumu mara kikapanda maa kikashuka alimradi hana hoja ya kuegamia amebakia kituko tu huko majukwaani.