lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,126
- 33,156
Ni ukweli usiopingika kuwa Sehemu mbalimbali duniani kunapofanyika kampeni kwa ajili ya Uchaguzi sio kila mtu anasikiliza au anafuata Sera za Mgombea,hapana.
Ni hulka ya binadamu kuwa na utashi,maana yake kila mtu Ana utashi wake.
Hivyo katika muktadha wa Uchaguzi hufanyika kampeni sio watu wote hufuatilia kampeni,Bali watu tayari hua na maamuzi Yao mioyoni bila. Hata kushawishiwa.
Hivyo Basi Kuna watu huangalia Haiba ya mgombea, kwa mfano wengine humchagua mgombea kwa sababu tu Ni Mzuri wa sura(handsome) nina mifano hai juu ya hili,wanawake wengi na baadhi ya wanaume na vijana Marekani humchagua mgombea hata kwa sura.
Maraisi waliofaidika na kura za Aina hii Ni Bill Clinton na Barack Obama,lakini pia kwa Tanzania Ni Jakaya Kikwete.
Sasa Basi katika wapiga kura wengi Ni wanawake,kwa asili wanawake Ni viumbe wenye huruma,upendo na sononeko au maumivu ya ndani kwa ndani, na hii Ni kwa sababu wao ndio hukaa mda mwingi na mtoto,kuanzia tumboni hadi duniani.
Hivyo Basi sio siri ijapokua Tundu Lissu hategemei kura za huruma kwa sababu jamaa Ni nguli wa kujenga hoja kuongea,kujieleza,kujitetea na kushawishi Ni lazima tutaketusitake wanawake wengi Sana watampigia kura za huruma tu kutokana na kunusulika kwake na kifo.kwakitendo alichofanyiwa Cha kupigwa risasi Ni wanawake wachache Sana waliofurahia hata wa CCM.
Lissu anazo kura za huruma hata kutoka kwa wanaume,ingawa akianza kujenga hoja watu wataweza kumwacha mgombea wao na kumpigia Lissu.
Ni hulka ya binadamu kuwa na utashi,maana yake kila mtu Ana utashi wake.
Hivyo katika muktadha wa Uchaguzi hufanyika kampeni sio watu wote hufuatilia kampeni,Bali watu tayari hua na maamuzi Yao mioyoni bila. Hata kushawishiwa.
Hivyo Basi Kuna watu huangalia Haiba ya mgombea, kwa mfano wengine humchagua mgombea kwa sababu tu Ni Mzuri wa sura(handsome) nina mifano hai juu ya hili,wanawake wengi na baadhi ya wanaume na vijana Marekani humchagua mgombea hata kwa sura.
Maraisi waliofaidika na kura za Aina hii Ni Bill Clinton na Barack Obama,lakini pia kwa Tanzania Ni Jakaya Kikwete.
Sasa Basi katika wapiga kura wengi Ni wanawake,kwa asili wanawake Ni viumbe wenye huruma,upendo na sononeko au maumivu ya ndani kwa ndani, na hii Ni kwa sababu wao ndio hukaa mda mwingi na mtoto,kuanzia tumboni hadi duniani.
Hivyo Basi sio siri ijapokua Tundu Lissu hategemei kura za huruma kwa sababu jamaa Ni nguli wa kujenga hoja kuongea,kujieleza,kujitetea na kushawishi Ni lazima tutaketusitake wanawake wengi Sana watampigia kura za huruma tu kutokana na kunusulika kwake na kifo.kwakitendo alichofanyiwa Cha kupigwa risasi Ni wanawake wachache Sana waliofurahia hata wa CCM.
Lissu anazo kura za huruma hata kutoka kwa wanaume,ingawa akianza kujenga hoja watu wataweza kumwacha mgombea wao na kumpigia Lissu.