Uchaguzi 2020 Lissu hana uchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili

Huyu ndiye mtetezi wa madini yetu kabla hata hujazaliwa.
Mkapa alimfunga kisa akipigania madini na mikataba mibovu
TUMENYOLEWA NYWELE? HUYU MZEE WA KIKI WENU SI ALIBWABWAJA KUWA TUKIGUSA MIKATABA YA MADINI TUTANYOLEWA NYWELE BILA MAJI? AU ALIKUWA KACHANGANYIKIWA?
 
Hata kuandika kwa Kiswahili fasaha hujui, eti "kupereka"... typical Jiwe Supporter!

Sasa ikiwa hata kuandika tu hujui, ndo utaweza kumwelewa mtu kama TL!! Ndo utakuwa na uwezo wa kutafuta habari tofauti na zile mnazolishwa na akina Polepole!!
HAKUNA IKULU YA KUPELEKA KIWANDA CHA MATUSI.
 
TUMENYOLEWA NYWELE? HUYU MZEE WA KIKI WENU SI ALIBWABWAJA KUWA TUKIGUSA MIKATABA YA MADINI TUTANYOLEWA NYWELE BILA MAJI? AU ALIKUWA KACHANGANYIKIWA?
Jambo usilolijua ni kuwa kelele zake zilisaidia ndio maana mliwaita wale mliowaita "wanaume kweli kweli" kwa mujibu wa JPM.
Kibaya zaidi hujui kilichozungumzwa ni kitu gani kwani hata mrejesho hatukupewa.
Hebu watanzania tuamke acheni umbumbu huu wa kiccm.
Tunashabikia kila ujinga kwa itikadi za kijinga ilhali wachache wanafaidi
 
Jambo usilolijua ni kuwa kelele zake zilisaidia ndio maana mliwaita wale mliowaita "wanaume kweli kweli" kwa mujibu wa JPM.
Kibaya zaidi hujui kilichozungumzwa ni kitu gani kwani hata mrejesho hatukupewa.
Hebu watanzania tuamke acheni umbumbu huu wa kiccm.
Tunashabikia kila ujinga kwa itikadi za kijinga ilhali wachache wanafaidi
KELELE ZA KIZANDIKI NA KINAFIKI . KWANI LILIPOKUJA SWALA LENYEWE LA KUSHUGULIKIA HIYO MIKATABA MIBOVU HUYO JAMAA YENU HAKUUNGA JUHUDI ZILE ZA KUKOMBOA MADINI YETU, ZAIDI ALITOAVITISHO NA KUWAKATISHA TAMAA WAPAMBANAJI HUKU YEYE AKIWATETEA WALE MABEBERU??
TENA ASITUKUMBUSHE ULE UUPUUZI ALIOUFANYAA
 
KELELE ZA KIZANDIKI NA KINAFIKI . KWANI LILIPOKUJA SWALA LENYEWE LA KUSHUGULIKIA HIYO MIKATABA MIBOVU HUYO JAMAA YENU HAKUUNGA JUHUDI ZILE ZA KUKOMBOA MADINI YETU, ZAIDI ALITOAVITISHO NA KUWAKATISHA TAMAA WAPAMBANAJI HUKU YEYE AKIWATETEA WALE MABEBERU??
TENA ASITUKUMBUSHE ULE UUPUUZI ALIOUFANYAA
Nimegundua kuwa una kreki kichwani.
Lissu hakuzuia bali alitoa tahadhari ichukuliwe
 
Nimegundua kuwa una kreki kichwani.
Lissu hakuzuia bali alitoa tahadhari ichukuliwe
ALISHINDWA NINI KUUNGANA NA MASHUJAA WAKITANZANIA WAZALENDO? HALAFU YEYE AKAISHIA KUTOA MATAMKO YA YA ZANDIKI YA KUWAKATISHA TAMAA MASHUJAA WALE??
KAMA KWELI ALIKUA NA UCHUNGU WA KUPOTEA MALI ZETU YEYE KAMA MTANZANIA, ALISHINDWA NINI KUUNGANA NA MASHUJAA ILI KUPIGANIA MALI ZETU? ZAIDI ALIBWABWAJA ETI ATAKAE GUSA MIKATABA ILE TUTANYOLEWA BILAMAJI?
ALIKUA ANATAZAMISHA NINI, NAWAKATI YEYE ALIKUA MBUNGE NA MIJADALA IKO BUNGENI?
WAZUNGU WAKE WATAMGARIM PAKUBWA.
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Mleteni faru john na Zile trion moja
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).

Utopolo FC.

Huyu anayezunguka na ma V8 takribani 100 kwenye kampeni kutueleza yale yale kila siku ana uchungu upi na raslimali za nchi hii?

Huyu aliyetumia raslimali lukuki kununua wagombea, wabunge na madiwani pia kurudia chaguzi?

Zaidi sana wapi 1.5 Tr yetu? Vipi viwanja vya huko Chatto vina baraka zake yeye mwenyewe tu?

Inabidi kuwa msukule kuamini kuwa huyu ndiyo champion sasa wa kulinda raslimali za taifa hili.
 
..TL ndio amekuwa akipambana na makampuni ya madini tangu yaanze kuingia hapa nchini.

..tunaujua mchango wa TL kutetea wananchi wa Rufiji delta, Bulyankhulu, Nzega, North Mara, Geita, Mtwara, Lindi, na kwingineko.

..wakati TL akitetea wananchi wa maeneo yote hayo Magufuli alikuwa akiunga mkono miswada ya sheria za madini na mikataba inayoumiza nchi.

..Na tangu ameingia madarakani Magufuli na serikali yake wamewasamehe Barrick deni la ukwepaji kodi la usd 191 billion. Badala yake wamekubali malipo ya kishika uchumba ya usd 300 million. Pia Magufuli ameruhusu makinikia yaendelee kusafirishwa nje ya nchi wakati alidai smelter lazima ijengwe hapa Tanzania.
Ni kweli alipambana lakini ipo film inayotoa conclusion kwamba every man has his price. Bei ya Lissu ilishafikiwa siku nyingi sana na mengine yote yamebaki historia. Leo hii ndo anawachaji wenzake wa CDM milioni 20 ili kuwatetea mahakamani.

So, he is at his highest level of lust for money! Kelele zote unazosikia ni tamaa ya pesa tu!
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
CCM mlikotufikisha mungu anajua.mwinyi,mkapa, JK bado hamna haya ya kuomba kura kwa wananchi?
 
NIKIKUMBUKA HUYU JAMAA ALIVOPANDISHA MISHIPA YAKE KUWATETEA WAZUNGU WALE WEZI WA MADINI YETU. AKABWABWAJA ETI RAISI AKIGUSIA MIKATABA YA MADINI WAZUNGU WATATUNYOA NYWELE BILA MAJI. HALAFU LEO HUYU HUYU ANATULAZIMISHA TUMPE URAISI, KWELI????
Hivi hayo madini hao wazungu walipwewa na nani? Aliyewapa ndio alianza kuuza nchi!
 
Hivi hayo madini hao wazungu walipwewa na nani? Aliyewapa ndio alianza kuuza nchi!
KWAHIYO KWAKUWA WALIPEWAA KWA KUSAINI MIKATABA ISIYOKIDHI, INAMAANA TUKIKUMBUKA KWAMBA TUNAIBIWAA, TUENDELEE KUWAACHIA TUUU?? BILASHAKA JAMAA YENU HAJUI MASHARITI YA MIKATABA YA UWEKEZAJI KWA PANDE MBILII.
 
Back
Top Bottom